exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,195
- 3,704
Hamjambo Waungwana,
Nmekuja na bandiko la kuomba ushauri , wiki ijayo nina safari ya kutoka kahama kwenda daresalam, pia nikiri kua huko niendako ni mgeni sijawaih kufika, naenda kuhemea mzingo kariakoo wa nguo za spesho
Lengo la bandiko
Naomba mnisaidie usafiri wa kutoka kahama basi lenye huduma nzuri,
Nikifika dar sina mwenyeji kipi cha kuzingatia Kutokana na huu ugeni wangu ndani ya jiji kubwa la daresalaam.
Exalioth yuda
Jamiiforums
Geita
Nmekuja na bandiko la kuomba ushauri , wiki ijayo nina safari ya kutoka kahama kwenda daresalam, pia nikiri kua huko niendako ni mgeni sijawaih kufika, naenda kuhemea mzingo kariakoo wa nguo za spesho
Lengo la bandiko
Naomba mnisaidie usafiri wa kutoka kahama basi lenye huduma nzuri,
Nikifika dar sina mwenyeji kipi cha kuzingatia Kutokana na huu ugeni wangu ndani ya jiji kubwa la daresalaam.
Exalioth yuda
Jamiiforums
Geita