Msaada Posta Mpya iko maeneo gani Dar es Salaam?

Msaada Posta Mpya iko maeneo gani Dar es Salaam?

Panda gari shuka Mnazi Mmoja,Panda tena gari za Kivukoni/Posta au tembea kama siyo mvivu kata mitaaaaaa tokezea Haidery Plaza Ukiiona Benjamini mkapa Tower inatizamana na Posta Mpya.Lakini hakuna cha posta mpya wala ya zamani ni Posta palepale tu.
 
Panda gari shuka Mnazi Mmoja,Panda tena gari za Kivukoni/Posta au tembea kama siyo mvivu kata mitaaaaaa tokezea Haidery Plaza Ukiiona Benjamini mkapa Tower inatizamana na Posta Mpya.Lakini hakuna cha posta mpya wala ya zamani ni Posta palepale tu.
Ahsante kaka kama ni posta pale pale haina shida napapata ikiyonichanganya n hyo posta mpya
 
jamaa ni kama vile kaandikia thread kwenye internet cafe...!
 
Umeshindwa kuuliza mtu yeyote hapo ulipo kama ni Dar, matumizi mabaya ya jukwaa
 
Ulizia ile sanamu ya askari ambaye aliambiwa awekwe sanamu ya Diamond ndo watakuelewa. Natania. Basi lolote liloandikwa posta ukipanda umefika.
 
Panda daladala yoyote,mwambie konda naenda posta mpya...
 
Habarini wadau,

Leo nimepokea ujumbe ukinitaka nifike Posta Mpya nikiwa na kitambulisho ili nipokee mzigo wangu, kwa bahati mbaya mi sio mwenyeji sana hapa Dar, naomba anayepafahamu ilipo Posta Mpya anielekeze.

Ahsante
Panda gari za mbagala,wakushushe Posta mpya!
 
Panda daladala yoyote,mwambie konda naenda posta mpya...
 
Habarini wadau,

Leo nimepokea ujumbe ukinitaka nifike Posta Mpya nikiwa na kitambulisho ili nipokee mzigo wangu, kwa bahati mbaya mi sio mwenyeji sana hapa Dar, naomba anayepafahamu ilipo Posta Mpya anielekeze.

Ahsante
Postayazaman
 
ukiona majengo mapya ndio posta mpya ila ya zamani ina majengo mabaya sana
Hakuna Posta yenye majengo mapya, nimezaliwa Dar miaka ya 70's na tangu napata akili hayo majengo yapo. huo upya ni upya upi?
 
Panda gari shuka Mnazi Mmoja,Panda tena gari za Kivukoni/Posta au tembea kama siyo mvivu kata mitaaaaaa tokezea Haidery Plaza Ukiiona Benjamini mkapa Tower inatizamana na Posta Mpya.Lakini hakuna cha posta mpya wala ya zamani ni Posta palepale tu.
Nyinyi watu wa mashambani mna tabu sana, sasa mtu yupo Mwenge unamwambia apande gari ashuke mnazi mmoja kwani hakuna Coaster za Mwenge Posta kupitia palm beach?

Si kila mtu ni mkazi wa gongo la mboto kama wewe, tena hata wewe ukija mjini nakushauri uwe unapanda treni ndio usafiri wa haraka kuingilia mjini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom