wala sio ishu... sema ndo nimkute wapi sasa... maana hachelew kukwambia hapajuisi umsindikize tu, yaishe!
Posta mpya ni ofisi za shirika la posta mtaa wa Azikiwe, CBD.Habarin wadau Leo nmepokea ujumbe ukinitaka nifike posta mpya nikiwa na kitambulisho ili nipokee mzigo wangu ,kwa bahat mbaya m sio mwenyej sana hapa dar naomba anayepafaham ilipo posta mpya anielekeze
Ahsante
Nifike posta mpya nikiwa na kitambulisho ili nipokee mzigo wangu
Iko PostaHabarin wadau Leo nmepokea ujumbe ukinitaka nifike posta mpya nikiwa na kitambulisho ili nipokee mzigo wangu ,kwa bahat mbaya m sio mwenyej sana hapa dar naomba anayepafaham ilipo posta mpya anielekeze
Ahsante
Habarin wadau Leo nmepokea ujumbe ukinitaka nifike posta mpya nikiwa na kitambulisho ili nipokee mzigo wangu ,kwa bahat mbaya m sio mwenyej sana hapa dar naomba anayepafaham ilipo posta mpya anielekeze
Ahsante
Msindikizaji fanya umsindikize huyu mgenimmmh... vizuri lkn ungeeleza mahala ulipo uambiwe upande basi gani au upite njia gani