Msaada Posta Mpya iko maeneo gani Dar es Salaam?

Msaada Posta Mpya iko maeneo gani Dar es Salaam?

[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji75][emoji75][emoji75][emoji75]
 
Hakuna Posta yenye majengo mapya, nimezaliwa Dar miaka ya 70's na tangu napata akili hayo majengo yapo. huo upya ni upya upi?
kwhyo posta majengo yake yote ya zamani?
 
Nyinyi watu wa mashambani mna tabu sana, sasa mtu yupo Mwenge unamwambia apande gari ashuke mnazi mmoja kwani hakuna Coaster za Mwenge Posta kupitia palm beach?

Si kila mtu ni mkazi wa gongo la mboto kama wewe, tena hata wewe ukija mjini nakushauri uwe unapanda treni ndio usafiri wa haraka kuingilia mjini.
Sasa hizo kashifa kwa sisi Watu wa mashambani,mimi huko sijawahi kufika naangaliaga kwenye TV na magazeti.Kumbuka muulizaji hakusema anatokea njia gani kuelekea Huko Posta Mpya.

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
 
ameisha waelewa sasa imetosha, posta amefika.
 
Hakuna Posta yenye majengo mapya, nimezaliwa Dar miaka ya 70's na tangu napata akili hayo majengo yapo. huo upya ni upya upi?
It is very true.

Hiyo inayoitwa Posta mpya ilijengwa mwishoni mwa miaka ya 60 na ile inayoitwa ya zamani ilijengwa wakati wa ukoloni.......

Kwa maana hiyo kuiita hiyo Posta inayoangaliana na Jengo linaloitwa Mkapa Towers kuwa ni Posta mpya nadhani tunakuwa hatutoi jina sahihi.....

Kwa maoni yangu hiyo inayoitwa Posta mpya inapaswa iitwe Posta ya zamani na ile inayoitwa Posta ya zamani inapaswa kuitwa Posta ya long, long, long time ago............
 
Mshaambiwa 'msije mjini' ila hamuelewi. Kha!!

Haya, nenda kwanza ukajisajiri kwa Makonda.

Karibu DarSlum. Lakini uwe makini, jiji hili limejaa chenga za Pele.

-Kaveli-
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom