weka tangazo jukwaa la kazi
haya kakaaa
elimu yangu form four,cjawai fanya kazi popote pale,,naitaji dodoma1. Una elimu gani?
2. Umeshafanya kazi gani? Una uzoefu na kazi gani? Kwa muda gani?
3. Sawa uko dodoma, so unataka ajira dodoma? Ama unaweza kwenda mikoa ipi?
Binti, kuna factors nyingi
sana ambazo mwajiri makini huwa anazingatia, kwa kusoma tangazo lako tu
mtu anaweza kujifunza mengi kabla hata hajaonana na wewe! Btw, kwa nini
usiangalie zaidi uwezekano wa kujiajiri hasa katika uzalishaji, fursa za
"kutoka" zipo wazi zaidi upande huo kuliko huko unakokimbilia "preaty
girl". Kila la heri.