danmarc
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 570
- 115
Waheshimiwa naomben msaada nilikuwa na2mia free net ya voda ile ya circle brain ktk simu ilikuwa kitambo kidogo toka april baada ya hapo nilikaa bila ku2mia net hadi hapa majuzi nilipo pata nafasi ya ku2mia net kwenye simu tena lakini cha ajabu ile trick haikubali tena. Au walishashtukia? Kama kuna proxy na port zingine naomben mni PM au kama kuna trick nyingine pia mni PM.