Nawasalimu wote kwa miyo wa dhati. Nina jambo ambalo linanisumbua sana nashare na ninyi mpate kunipa ushauri pls. Mimi ni binti wa makamo, nimeshamaliza chuo na nina kazi tayari. Kuna kaka mmoja ambaye tulisoma wote o level mkoa fulani then tukakutana Dar chuo fulani. Niseme wakati tukiwa chuo ndio tulikua karibu maana tulifanya course moja na tulikua karibu sana tukisaidiana kimasomo. Secondary tulikua darasa moja pia but hatukua karibu maana darasa lilikua na watu wengi kama mjuavyo shule za serikali, but chuoni ndo tuliweza ku interact. Wakati huo sikua na hisia zozote na yeye, niseme labda mawazo yangu siku focus kuwa na mahusiano naye, though yeye alitamani iwe hivyo na mara zote nilikua napinga, not that sikumpenda au labda nilikua na mtu mwingine no, i was just stubborn lol!
Well! Kwa ufupi baada ya chuo tuliendelea kuwasiliana though tulikua mikoa tofauti. Baadae niliendelea na masomo zaidi, na tuliendelea kuwasiliana. Baada ya masomo nikarudi mji/mkoa ambao yeye anaishi sasa, na well...tukawa wapenzi na kweli niseme tu ilifika kipindi nikamkubali na nikampenda kweli. But hali hailkua shari sana kwani alikua aki sema mara nyingi sana kwamba we are not compartible na mambo mengine mengi. Then, ikatokea akahamia mkoa mwingine kwa mambo ya kazi, na uhusiano wetu ukazorota sana. Nilijitahidi niwezavyo kuwasiliana naye though love ikawa inapotea pole pole. Nilijaribu kumtembelea huko alikohamia kikazi but hakunionyesha uchangamfu wala furaha. Nilimuuliza kama ana mtu mwingine, hakutaka kuwa muwazi so mi nilirudi kazini na hali ikawa mbaya zaidi ki mapenzi na hata mawasiliano. Niliteseaka kama mwaka mzima nika give up baada ya kuona simuelewi na hanielezi chochote cha maana.
So nipo kwenye mahusiano na mtu mwingine na nampenda naye ananipenda though tuko takika dini tofauti na sijui huko mbele itakuwaje though anaonyesha ishara zote kwamba yupo tayari kuwa na mimi in the future. Sasa yule jamaa wa zamani, bado tunawasiliana (sio kimapenzi,na sina tena feelings naye kabisa) kwa salamu tu na bahati mbaya au nzuri baadhi ya ndugu zake wananifahamu na tuna mahusiano mazuri tu, na wanadhani ndugu yao anampango na mimi labda wa kunioa. Sasa siku za karibuni ameniadikia email ndefu sana akijutia yote alofanya na anataka kunichumbia. Ki ukweli natamani ku settle, ila huyu nlio naye sasa bado anajijenga so sidhani kama tutaweza kuoana soon. Huyu wa zamani ana kila kitu (amejijenga kimaisha)na tupo dini moja. Ki ukweli nampenda sana huyu nlie naye sasa, na nogopa/ sithubutu hata kumuacha. Na kila mara ananiambia amefanya ujana sana, sasa ameamua kutulia na anadhani mimi ni mwanamke wake wa mwisho. Msaada please
Well! Kwa ufupi baada ya chuo tuliendelea kuwasiliana though tulikua mikoa tofauti. Baadae niliendelea na masomo zaidi, na tuliendelea kuwasiliana. Baada ya masomo nikarudi mji/mkoa ambao yeye anaishi sasa, na well...tukawa wapenzi na kweli niseme tu ilifika kipindi nikamkubali na nikampenda kweli. But hali hailkua shari sana kwani alikua aki sema mara nyingi sana kwamba we are not compartible na mambo mengine mengi. Then, ikatokea akahamia mkoa mwingine kwa mambo ya kazi, na uhusiano wetu ukazorota sana. Nilijitahidi niwezavyo kuwasiliana naye though love ikawa inapotea pole pole. Nilijaribu kumtembelea huko alikohamia kikazi but hakunionyesha uchangamfu wala furaha. Nilimuuliza kama ana mtu mwingine, hakutaka kuwa muwazi so mi nilirudi kazini na hali ikawa mbaya zaidi ki mapenzi na hata mawasiliano. Niliteseaka kama mwaka mzima nika give up baada ya kuona simuelewi na hanielezi chochote cha maana.
So nipo kwenye mahusiano na mtu mwingine na nampenda naye ananipenda though tuko takika dini tofauti na sijui huko mbele itakuwaje though anaonyesha ishara zote kwamba yupo tayari kuwa na mimi in the future. Sasa yule jamaa wa zamani, bado tunawasiliana (sio kimapenzi,na sina tena feelings naye kabisa) kwa salamu tu na bahati mbaya au nzuri baadhi ya ndugu zake wananifahamu na tuna mahusiano mazuri tu, na wanadhani ndugu yao anampango na mimi labda wa kunioa. Sasa siku za karibuni ameniadikia email ndefu sana akijutia yote alofanya na anataka kunichumbia. Ki ukweli natamani ku settle, ila huyu nlio naye sasa bado anajijenga so sidhani kama tutaweza kuoana soon. Huyu wa zamani ana kila kitu (amejijenga kimaisha)na tupo dini moja. Ki ukweli nampenda sana huyu nlie naye sasa, na nogopa/ sithubutu hata kumuacha. Na kila mara ananiambia amefanya ujana sana, sasa ameamua kutulia na anadhani mimi ni mwanamke wake wa mwisho. Msaada please