Isaack Binya
Member
- Oct 26, 2011
- 33
- 2
nilibugi nikanunua moderm ya voda,ina cost sana especially kwa sis ambao hatuko kwenye system.Hivyo nilitaka kujuzwa kama inawezekana kuiflash ili niweze kuweka line ya Airtel coz wadau ndivyo walivyoniambia kua Airtel iko poa,ama mwenye kujua wap naweza pata huduma hiyo!thanks