Kama kuna mtu imewahi mtokea na alikabiliana nayo vipi hii hali? Ipo hivi. Kama mara kadhaa sasa nikiwa na demu wangu nimekuwa nikipatwa na hofu kiasi kwamba inanipelekea kupoteza concentration ktk jambo na jamaa kutokusimama hata akivua nguo na nikimchezea hadi baada ya muda sana, kwa mfano usiku nikishituka usingizini anakuwa kasimama ila nikianza kumshika shika demu napata hofu jamaa analala, naombeni mawazo yenu NIONDOKANE VIPI NA HII HOFU NA NIWEZE VIPI KURUDISHA CONCENTRATION kwani najijua ni mzima kabisa, na kama kuna yeyote ana document ya kisaikolojia ambayo yaweza nisaidia nitashukuru.