Msaada please My Galaxy Note 4 inachemka sana

Msaada please My Galaxy Note 4 inachemka sana

Matanzia kizebazeba

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
654
Reaction score
630
Habari ndgu wanajamvi, jamani msaada ndgu simu yangu galaxy note 4 SM-N910A inachemka sana nikiitumia yan inakua ya na joto kweli kama sufuria limewekwa kwenye moto. Nifanye nini wadau??? Msaada please
 
Habari mara nyingi kuchemka kwa hizi simu husababishwa na kuinstall Application nyingi kwenye simu yako hebu unstall application ambazo hauzitumii then
Njia nyingine nitaitutuma shortly!!
 
Hata mimi ninatatizo na Note 4 inachelewa kupata chaji kisha chaji haichukui muda inazima zima fasta yaani mpaka inakera naombeni msaada ,
 
Hata mimi ninatatizo na Note 4 inachelewa kupata chaji kisha chaji haichukui muda inazima zima fasta yaani mpaka inakera naombeni msaada ,
Shida itakua betri ya kwangu ilikua hvyo hvyo na nilikua na betri mbili moja ilikua inachelewa nyingine ilikua inapikea fasta nkaenda samsung nkachukua betri mpya na genuine zile mbili zote nkapiga chini sasa iko vizuri tu ila shida ni kuchemka tu.
 
Habari mara nyingi kuchemka kwa hizi simu husababishwa na kuinstall Application nyingi kwenye simu yako hebu unstall application ambazo hauzitumii then
Njia nyingine nitaitutuma shortly!!
Habari ndugu, asante kwa msaada wako bado inachemka please msaada wako tena ulisema utanipa another alternatives
 
TOA VITU VYAKO VYA MUHIMU KABLA THEN FANYA FACTORY RESET.kufanya hivyo nenda Settings >Backup and Reset >Factory Data Reset and Reset Device
 
kuchemka kwa masimu ya samsung ni kawaida mimi mwenyewe nalitumia hapa note4 limechemka balaa.
 
Huawei wana simu nzuri sana tu,sema Watanzania tunaona kununua Samsung ndiyo kupata kitu kizuri.
 
sidhani kama note 4 inachemka ovyo sababu hio ni simu ya mwisho kuwa na soc nzuri ya krait angalia mambo haya

1. simu yako ni version ya kimataifa, kuna matatizo ya watu kuuziwa simu za korea, usa nk simu ambazo zimeshachezewa sana wanakuja kushikishwa huku. nenda setting halafu about angalia aina yake version ya kimataifa inaishiwa na F au C kama sijakosea.

2. hakikisha hujaeka vitu vingi vinavyofanya kazi chini kwa chini, tafuta task manager yoyote angalia cpu, gpu na ram usage kama vinatumika sana angalia app gani inavitumia zaidi jaribu kuifunga kama ukiiifunga inajifungua itoe. task manager zipo nyingi playstore just search

3. simu haina warranty? note 4 ilitoka october 2014 warranty yake haijaisha unaweza wapelekea samsung. una mwezi mzima wa kwenda
 
sidhani kama note 4 inachemka ovyo sababu hio ni simu ya mwisho kuwa na soc nzuri ya krait angalia mambo haya

1. simu yako ni version ya kimataifa, kuna matatizo ya watu kuuziwa simu za korea, usa nk simu ambazo zimeshachezewa sana wanakuja kushikishwa huku. nenda setting halafu about angalia aina yake version ya kimataifa inaishiwa na F au C kama sijakosea.

2. hakikisha hujaeka vitu vingi vinavyofanya kazi chini kwa chini, tafuta task manager yoyote angalia cpu, gpu na ram usage kama vinatumika sana angalia app gani inavitumia zaidi jaribu kuifunga kama ukiiifunga inajifungua itoe. task manager zipo nyingi playstore just search

3. simu haina warranty? note 4 ilitoka october 2014 warranty yake haijaisha unaweza wapelekea samsung. una mwezi mzima wa kwenda
kweli chief, hii ya kwangu inaishia na F. unajua kawaida hakuna smartphone isiyochemka hasaa inapotumika sana, wenye iphone pia wanalia maana majuzi nilikuwa na jamaa akitumia iphone6+ alinithitishia hilo. labda hapo unisaidie task manager ipi nitumie
1474509329428.png
 
kweli chief, hii ya kwangu inaishia na F. unajua kawaida hakuna smartphone isiyochemka hasaa inapotumika sana, wenye iphone pia wanalia maana majuzi nilikuwa na jamaa akitumia iphone6+ alinithitishia hilo. labda hapo unisaidie task manager ipi nitumieView attachment 404627
picha hata siioni.

download syatsem panel lite itakuomyesha resource zako zinatumikaje, ni vyema ukairun pale simu inavyokuwa ya moto
 
Back
Top Bottom