Msaada please kwa anayejua zaidi

Msaada please kwa anayejua zaidi

Machuchu

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2017
Posts
1,260
Reaction score
965
Za leo ndugu zangu.

Naombeni msaada kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Natumia simu ya Samsung Galax Tab kwa matumizi ya internet na kupata habari. Ila cha kushangaza Jamii forum naingia kwa kusoma tu ila siwezi post kituchochote au kukoment hata kulike na apply ....yaani ni kusoma tu. Fb, Whatsap na vingine inakubali haina shida.

Ila nikitumia kompyuta naweza fanya chochote kupost na kulike kukomenti na mengineyo. Naombeni kwa anayejua hata huu uzi nimeuandika kwa kutumia kompyuta (Desktop) nikiwa ofisini napenda sana simu niwe naitumia kwa kila kitu nikihitaji hasa Jamii Forum.......ni hayo tu ndugu zangu
 
N
Jaribu kudownload Google chrome kupitia play store
Naingilia ukouko kwenye google chrome inafunguka ina nasoma tu....nilijalibu kudelete nikalistoo upya ila ikawa vilevile
 
Hiyo tab haikubali kuingia playstore na ikadownload app ya JF...jipu hilo
 
Back
Top Bottom