May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,162
- 8,820
Sio jamii zote za Nyoka wanakula mayai.Huyo ni nyoka MTU
Hapo naona sio nyoka bali kuna mtu anaiba hayo mayai
Nilikuwa na kuku wengi sana na kulikuwa na joka kubwa sana ambalo ni la miaka lakini hata siku moja hajala mayai
Na ni msaidizi mzuri sana kwa vibaka kwani wanajua uwepo wake hapo na hawasogei
Asubuhi huwa anaota jua kwenye barabara ya kuingilia shambani
We achana na nyoka mwizi yupo hapo mvizie tu
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kuna jamii maalum ambao hawali kitu kingine ni mayai tu, na wakishajua chimbo wanaweka kambi...Mleta mada anaweza kuwa sahihi ni Nyoka, ila pia inawezekana yanaibiwa na Mtu.