MSAADA: Nyoka ameingia ndani kwangu

MSAADA: Nyoka ameingia ndani kwangu

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
Wakuu leo yamenikuta!

Nimetoka nje mara moja kwenda kufunga vioo vya gari vizuri ile nataka nirudi mlangoni kwangu niingie ndani naona joka kubwa refuu linapotelea ndani kwangu.

Na kupo giza ndani na nyumba ina rooms 3 store na jiko.Ameingilia mlango wa jikoni.

Nifanyeje maana wife yupo chumbani na mtoto na wameshalala.

Naombeni ushauri.
 
Usianye...kama ni nyoka mweusi hana shida huyo anaenda kukupunguzia panya ndani.

Kama ni wa kijani (ni nadra kuingia ndani) kama nyumba ina tiles au sakafu muwahi faster umuue coz hawezi tembea vizuri hapo, kabla hajaingia kwenye materials kama mbao au nguo...na huwa wanaruka hao.

Usimstue wife maana ataweza kufa kwa presha kama unavyowajua hawa hata mjusi tu wanaogopa haswa.
 
Mkuu choma mpira Wa gari baiskeri au hata hii ya kufungia vitu mhm iwe mpira jitahidi moshi uwe Wa kutosha lzm atatoka choma kwa tahadhari bila kuathiri kitu hawaipendi hiyo harufu
 
Usianye...kama ni nyoka mweusi hana shida huyo anaenda kukupunguzia panya ndani.

Kama ni wa kijani (ni nadra kuingia ndani) kama nyumba ina tiles au sakafu muwahi faster umuue coz hawezi tembea vizuri hapo, kabla hajaingia kwenye materials kama mbao au nguo...na huwa wanaruka hao.

Usimstue wife maana ataweza kufa kwa presha kama unavyowajua hawa hata mjusi tu wanaogopa haswa.
Angekuwa na uwezo wa kuwahi fasta na kumuua asingeomba msaada...muda anaotype hapa angekuwa keshamuua
 
Mkuu choma mpira Wa gari baiskeri au hata hii ya kufungia vitu mhm iwe mpira jitahidi moshi uwe Wa kutosha lzm atatoka choma kwa tahadhari bila kuathiri kitu hawaipendi hiyo harufu
Halafu huyo mtoto atalalaje ndani?

Harufu itaisha saa ngp?
 
Usianye...kama ni nyoka mweusi hana shida huyo anaenda kukupunguzia panya ndani.

Kama ni wa kijani (ni nadra kuingia ndani) kama nyumba ina tiles au sakafu muwahi faster umuue coz hawezi tembea vizuri hapo, kabla hajaingia kwenye materials kama mbao au nguo...na huwa wanaruka hao.

Usimstue wife maana ataweza kufa kwa presha kama unavyowajua hawa hata mjusi tu wanaogopa haswa.
Mkamate kamtupe mbali acheni kuua ua viumbe ovyo !wakiisha hao kutakuwa na mfumuko wa panya mpaka tuchanganyikiwe .
Paka sikuhz wanakula chips yai nyoka wanajitahida kugonga msosi wa panya nahisi nyoka wote wana asili ya umakonde
 
Wakuu leo yamenikuta!

Nimetoka nje mara moja kwenda kufunga vioo vya gari vizuri ile nataka nirudi mlangoni kwangu niingie ndani naona joka kubwa refuu linapotelea ndani kwangu.

Na kupo giza ndani na nyumba ina rooms 3 store na jiko.Ameingilia mlango wa jikoni.

Nifanyeje maana wife yupo chumbani na mtoto na wameshalala.

Naombeni ushauri.
Choma mpira ndani au pilipili.Ila pilipili itawaumiza watu waliomo ndani watakohoa sana na kuwashwa macho.
 
Wakuu leo yamenikuta!

Nimetoka nje mara moja kwenda kufunga vioo vya gari vizuri ile nataka nirudi mlangoni kwangu niingie ndani naona joka kubwa refuu linapotelea ndani kwangu.

Na kupo giza ndani na nyumba ina rooms 3 store na jiko.Ameingilia mlango wa jikoni.

Nifanyeje maana wife yupo chumbani na mtoto na wameshalala.

Naombeni ushauri.
Inaweza pia ikawa mazingara hayo. Pamoja na kufanya hayo mengine, kama ni Mkristo, vunja kila roho na mashambulizi yeyote kwa jina la Yesu. Kama huwezi ita majirani pia wanaloamini Jina la Yesu
 
Cha msingi washa taa kwanza atakuwa hajajificha mbali sana kama kuna giza ukiwasha utaona sehemu anayokimbilia itakuwa rahisi kukabiliana naye

Kama ukishindwa kumuona ndio uanze kumwaga mafuta ya taa au hata dawa ya kuua wadudu pia inaweza kusaidia au kuchoma mpira njia hizo zote zinaweza kumfanya abaki palepale alipo au atoke maana zinammaliza nguvu

Lakini ufanye hayo baada ya kuwaamsha mke na mtoto maana harufu ya hivyo vitu vitawaathiri pia
 
Mafuta ya taa, mpira wa baiskeli nk.. tupaa kuleee,,
Fanya hivi;
Chukua chombo cha bati kama sufuria au chepe (beleshi) weka moto alafu chukua pilipili kavu weka kwenye huo moto then ingiza ndani ya chumba alichoingia nyoka. Dakika tatu haziishi utamuona mlangoni anatoka akiwa amechoka.
Nb: Jiandae kukohoa.
 
Anatujulisha tu ana gari na three bed house
Utapataje mda wa kuandika kwani hana jirani au hahaha vituko haviishi jf siku hizi
Yaani it doesnt make sense anakaa sehem anatype nyoka yumo ndani huyu ni mwanaume na kichwa cha familia aisee alichopaswa kufanya angetafta namna ya kumkabili nyoka akishamuua aaandike tu kama maelezo na jinsi alivyoweza kua shujaa kunusur familia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom