Msaada nitafanya nini jamani kujiokoa..

Msaada nitafanya nini jamani kujiokoa..

KATASAN'KAZA

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2013
Posts
3,097
Reaction score
1,356
Nikiwa mpiganaji NA mpambanaji ninayechukia kuajiriwa na mpenda kujiajili kwa kiwango kikubwa, naomba ushauri wenu wenye mapenzi mema katika harakati za kukusanya hukuu na kule nimejituma kwa kuanza na project ambayo imeinua mtajiwa wangu a laki 2 mpaka laki tano nje ya mtaji niliowekeza kwa muda wa miezi 3, sasa naona kama hii laki tano niwekeze kwa kitu kingine ambacho kwa mtazamo wangu hakitakuwa na risiki kubwa kama hii project ninayoendelea nayo, wadau niwaombe msaada wa ushauri asanteni na mungu atawabariki.
naomba kuwasilisha!
 
mkuu big up. sisi wengne bado tunapambna na kuajiriwa kwanz.
nikirudi kwenye topic;

upo wapi kwanza?
mm nakusauri jarib kufuga kuku wa mayai au wa kienyeji (nyama) au bata mkuu. najua mtaji wako unaweza fanya hivi:
1.kuku wa kuanzia 15-20 (approx.tsh180,000). hapa itabid ununue kuku wadogo wadogo ili kukwepa bei kubwa, na n vizur ukiwakuz mwenyewe. had watakap anza toa mayai.
2.ujenzi wa banda la kufugia (approx 30,000)
3.vyakula vya kuanzia na dawa kwa kipind hizo kuku hazijaanza ingiza pesa, tuseme kwa miezi 2 (approx 50,000).

had hapounakua umetumia kama 260,000 hivi out of laki 5. ukiona maendeleo yanaenda fresh, unaongeza idadi ya kuku, chakula na ukubwa wa banda. pesa kidg inabaki kwaajili ya backup.

hizo bei ni.makadilio. zinaweza badilika kutokana na mahala ulipo.

ushaur wangu ndio huo mkuu.
 
Ok!
Naomba utushirikishe iyo project ya kwanza iliyo kufikisha hapo.
Na hizo risk unazo ogopa,labda tuta kushauri jinsi gan upambane nazo.
 
mkuu big up. sisi wengne bado tunapambna na kuajiriwa kwanz.
nikirudi kwenye topic;

upo wapi kwanza?
mm nakusauri jarib kufuga kuku wa mayai au wa kienyeji (nyama) au bata mkuu. najua mtaji wako unaweza fanya hivi:
1.kuku wa kuanzia 15-20 (approx.tsh180,000). hapa itabid ununue kuku wadogo wadogo ili kukwepa bei kubwa, na n vizur ukiwakuz mwenyewe. had watakap anza toa mayai.
2.ujenzi wa banda la kufugia (approx 30,000)
3.vyakula vya kuanzia na dawa kwa kipind hizo kuku hazijaanza ingiza pesa, tuseme kwa miezi 2 (approx 50,000).

had hapounakua umetumia kama 260,000 hivi out of laki 5. ukiona maendeleo yanaenda fresh, unaongeza idadi ya kuku, chakula na ukubwa wa banda. pesa kidg inabaki kwaajili ya backup.

hizo bei ni.makadilio. zinaweza badilika kutokana na mahala ulipo.

ushaur wangu ndio huo mkuu.

Ebo,ushauri mzuri jamaa hajarudi kuendeleza brainstorm
 
ndugu nikushukru sana kwa mawazo yako pevu sana!nitajaribu kufanyia kzi wazo lako hili, mahali nilipo ni dsm!
mkuu big up. sisi wengne bado tunapambna na kuajiriwa kwanz.
nikirudi kwenye topic;

upo wapi kwanza?
mm nakusauri jarib kufuga kuku wa mayai au wa kienyeji (nyama) au bata mkuu. najua mtaji wako unaweza fanya hivi:
1.kuku wa kuanzia 15-20 (approx.tsh180,000). hapa itabid ununue kuku wadogo wadogo ili kukwepa bei kubwa, na n vizur ukiwakuz mwenyewe. had watakap anza toa mayai.
2.ujenzi wa banda la kufugia (approx 30,000)
3.vyakula vya kuanzia na dawa kwa kipind hizo kuku hazijaanza ingiza pesa, tuseme kwa miezi 2 (approx 50,000).

had hapounakua umetumia kama 260,000 hivi out of laki 5. ukiona maendeleo yanaenda fresh, unaongeza idadi ya kuku, chakula na ukubwa wa banda. pesa kidg inabaki kwaajili ya backup.

hizo bei ni.makadilio. zinaweza badilika kutokana na mahala ulipo.

ushaur wangu ndio huo mkuu.
 
mister speker nisamehe sijakuwa karibu na mtandao but to assure you is that normally i used to appreciate every constructive idea!
Ebo,ushauri mzuri jamaa hajarudi kuendeleza brainstorm
 
Back
Top Bottom