spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,527
Sio cha kuonesha kwamba una nauli pungufu yan we stolowei au stafu
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app

Mabasi ya Dar-Moro-Dar huwa hayana makondakta anakuwa ni dereva peke yake basi. Hivyo ni swala gumu sana dereva kuendesha gari aje kumsikikizia abiria. Na isitoshe hiko kidude kikibonyezwa kinatoa mlio kwa dereva, asa fikiria kama mtu anafanya hivyo mara kwa mara inakuwa ni kero kwa dereva. Nimezunguza kwa uzoefu wa magari niliyowahi panda kwa kampuni zote nne (BM, AL SAEDY, NEW FORCE NA ABOOD) magari yote haya hayana konda kwa safari za maro dar moroPoleni.
Huyo dereva ni mshamba. Nawashauri mbonyeze hizo button mara kwa mara ili azoee, hasira na matusi yataisha. Safari itaendelea vizuri tu na vicheko.
HII NDIYO BONGO
Kwahiyo mjomba Mkude unataka kusema sisi watu wa mikese ni washamba?Mabasi ya Dar-Moro-Dar huwa hayana makondakta anakuwa ni dereva peke yake basi. Hivyo ni swala gumu sana dereva kuendesha gari aje kumsikikizia abiria. Na isitoshe hiko kidude kikibonyezwa kinatoa mlio kwa dereva, asa fikiria kama mtu anafanya hivyo mara kwa mara inakuwa ni kero kwa dereva. Nimezunguza kwa uzoefu wa magari niliyowahi panda kwa kampuni zote nne (BM, AL SAEDY, NEW FORCE NA ABOOD) magari yote haya hayana konda kwa safari za maro dar moro
Sawa. Je! ni haki kwa dereva kutoa lugha chafu na matusi kwa abiria? Je! abiria wakibonyeza hiyo 'button' (kwa bahati mbaya) inayomnyegelesha dereva, ina maana hakuna safari inayoendelea kwakuwa Dereva kachukia?Mabasi ya Dar-Moro-Dar huwa hayana makondakta anakuwa ni dereva peke yake basi. Hivyo ni swala gumu sana dereva kuendesha gari aje kumsikikizia abiria. Na isitoshe hiko kidude kikibonyezwa kinatoa mlio kwa dereva, asa fikiria kama mtu anafanya hivyo mara kwa mara inakuwa ni kero kwa dereva. Nimezunguza kwa uzoefu wa magari niliyowahi panda kwa kampuni zote nne (BM, AL SAEDY, NEW FORCE NA ABOOD) magari yote haya hayana konda kwa safari za maro dar moro
Kazi yake ni kumuita dereva akuletee maji,sasa dereva akaona unazingua
