Msaada: Nini Matumizi ya Hii Button

Msaada: Nini Matumizi ya Hii Button

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
42,436
Reaction score
50,163
Nilikuwa kwenye moja ya mabasi ya Abood, mtu mmoja akabonyeza hiyo button kwenye picha, dereva wa bus akachukua kipaza sauti akamsema vibaya sana na kumtaka aache ujinga, wajuzi wa mambo hiyo button ina kazi gani? Na kama ina hatari kwanini madereva hawatoi angalizo kwa abiria kabla ya safari?

Screenshot_20220318-195547_Gallery.jpg
 
Nilikuwa kwenye moja ya mabasi ya Abood, mtu mmoja akabonyeza hiyo button kwenye picha, dereva wa bus akachukua kipaza sauti akamsema vibaya sana na kumtaka aache ujinga, wajuzi wa mambo hiyo button ina kazi gani? Na kama ina hatari kwanini madereva hawatoi angalizo kwa abiria kabla ya safari?

View attachment 2186500
sio ni wewe ndo ulisemwa 😂😂 btw ngoja waje watalaamu na mimi nijue kina kazi
 
Nilikuwa kwenye moja ya mabasi ya Abood, mtu mmoja akabonyeza hiyo button kwenye picha, dereva wa bus akachukua kipaza sauti akamsema vibaya sana na kumtaka aache ujinga, wajuzi wa mambo hiyo button ina kazi gani? Na kama ina hatari kwanini madereva hawatoi angalizo kwa abiria kabla ya safari?

View attachment 2186500
Acheni shobo na mabasi ya kichina ungepanda tata or kidinilo ayo maneno mabovu ungeyapatia wapi
 
Nilikuwa kwenye moja ya mabasi ya Abood, mtu mmoja akabonyeza hiyo button kwenye picha, dereva wa bus akachukua kipaza sauti akamsema vibaya sana na kumtaka aache ujinga, wajuzi wa mambo hiyo button ina kazi gani? Na kama ina hatari kwanini madereva hawatoi angalizo kwa abiria kabla ya safari?

View attachment 2186500
Inahusu kamera za usalama (CCTV) ndani ya basi, sasa huyo huko darini alikuwa anatafuta nini? Au alitaka akiibe akaweke kwenye bodaboda yake?
 
Itakuwa ni button ya kuomba kusimamisha gari unapofika kwenye kituo. Yaani ukibonyeza hapo ina dereva kule kuna aidha taa au mlio anausikia unaomjulisha kuwa kuna mtu anaomba kushuka....

Sasa mtu akibonyeza mara nyingi mfululizo it means anazingua...
 
Nyie mnasema kila neno ila dereva anawaoneni majuha kauchuna, mimi sitapanda basi hilo kwa sababu moja kubwa, vibonyezo vyote vilivyowekwa upande wa abiria ni kwa matumizi ya abiria, alitakiwa amsikilize abiria na kama amekosea amfahamishe abonyeze kitufe kipi.
 
Itakuwa ni button ya kuomba kusimamisha gari unapofika kwenye kituo. Yaani ukibonyeza hapo ina dereva kule kuna aidha taa au mlio anausikia unaomjulisha kuwa kuna mtu anaomba kushuka....

Sasa mtu akibonyeza mara nyingi mfululizo it means anazingua...
🙏
 
Nyie mnasema kila neno ila dereva anawaoneni majuha kauchuna, mimi sitapanda basi hilo kwa sababu moja kubwa, vibonyezo vyote vilivyowekwa upande wa abiria ni kwa matumizi ya abiria, alitakiwa amsikilize abiria na kama amekosea amfahamishe abonyeze kitufe kipi.
Nahisi yule abiria alijua matumizi yake na alikuwa na nia njema, kilicho nishtua ni kauli ya dereva dhidi ya abiria, haikuwa ya kiistaarabu
 
Itakuwa ni button ya kuomba kusimamisha gari unapofika kwenye kituo. Yaani ukibonyeza hapo ina dereva kule kuna aidha taa au mlio anausikia unaomjulisha kuwa kuna mtu anaomba kushuka....

Sasa mtu akibonyeza mara nyingi mfululizo it means anazingua...
Ilipaswa wawafahamishe wateja in advance badala kuwadhalilisha vile
 
Acheni shobo na mabasi ya kichina ungepanda tata or kidinilo ayo maneno mabovu ungeyapatia wapi
Mabasi ya Kidinilo nayo ya kichina labda lile moja lenye sauti kama magari ya propela ndio ni scania pekee
 
Itakuwa ni button ya kuomba kusimamisha gari unapofika kwenye kituo. Yaani ukibonyeza hapo ina dereva kule kuna aidha taa au mlio anausikia unaomjulisha kuwa kuna mtu anaomba kushuka....

Sasa mtu akibonyeza mara nyingi mfululizo it means anazingua...
Nahisi abiria alijua anachokifanya ila kuna sababu imefichika why dereva amjibu kwa kumdhalilisha ati aache ujinga
 
Back
Top Bottom