MUSHEKY
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 2,812
- 2,754
Habarini wakuu,
Nimeleta swala hili hapa jamvini kwa kua hapa ni jungu kuu na wajuzi wa masuala ya kisheria hawatakosekana
Nina rafiki yangu anaishi mkoani Simiyu aliingia matatizoni kwa kuuziwa simu ambayo ilikuja kubainika kuwa iliibwa mahali
Kesi tayari ipo Mahakamani na imeshasomwa kwa mara ya kwanza
Kilichofanya niandike huu uzi ni kwamba jamaa ni muoga sana na pia hawezi kujielezea
Wakati anahojiwa na Polisi alipokea kichapo kikubwa ambacho kilimfanya atimue mbio mita kadhaa kabla ya kudakwa tena na Polisi na kurudishwa sero
Jambo hili limefanya afunguliwe kesi nyingine ya ya kutoroka mikononi mwa Pollisi na kufanya idadi ya mashtaka kuwa mawili
Hivyo naomba msaada wadau kwa anayefahamu hukumu ya kuwakimbia hawa Polisi kifungo cha muda gani kwa mujibu wa sheria lakini pia kama ipo namna ya kumfanya huyu bwana anasuke kwenye kesi hii naombeni ushauri wenu wadau
Nimeleta swala hili hapa jamvini kwa kua hapa ni jungu kuu na wajuzi wa masuala ya kisheria hawatakosekana
Nina rafiki yangu anaishi mkoani Simiyu aliingia matatizoni kwa kuuziwa simu ambayo ilikuja kubainika kuwa iliibwa mahali
Kesi tayari ipo Mahakamani na imeshasomwa kwa mara ya kwanza
Kilichofanya niandike huu uzi ni kwamba jamaa ni muoga sana na pia hawezi kujielezea
Wakati anahojiwa na Polisi alipokea kichapo kikubwa ambacho kilimfanya atimue mbio mita kadhaa kabla ya kudakwa tena na Polisi na kurudishwa sero
Jambo hili limefanya afunguliwe kesi nyingine ya ya kutoroka mikononi mwa Pollisi na kufanya idadi ya mashtaka kuwa mawili
Hivyo naomba msaada wadau kwa anayefahamu hukumu ya kuwakimbia hawa Polisi kifungo cha muda gani kwa mujibu wa sheria lakini pia kama ipo namna ya kumfanya huyu bwana anasuke kwenye kesi hii naombeni ushauri wenu wadau