Kumbuka pia tunaishi mara moja, usipofurahia hapa duniani, unataka ufurahie mbinguni?Unamjaza mwenzako ujinga hii hali inatokana na mtu kutokuishi kwa mahesabu tu hakuna cha nguvu nyingi wala nini,ni kujiendekeza.
Kawaida ya watu dizain hii utamkuta amepanga chumba na sebule,amening’iniza flat ukutani ana sabufa seapiano lake dressing table ya mkewe kitanda kimtungi kidogo cha gas anaona sasa maisha amemaliza ale starehe,hizo 50K anazotupa kwenye lodges na kuhonga hao malaya angekuwa mtu wa hesabu angewaza cha kufanya na hizo pesa kitakachomsaidia miaka 20 ijayo.
Nilipoona maelezo yako mengi nikajua labda umejaribu kumpa suluhu ya changamoto zake kumbe wewe pia umeishia kunilalamikia tu. Man up ndugu.Hujamsaidia sasa,yeye kesha gundua hayo yote,na ndiyo maana kaja hapa, ili uonyeshe unajua hilo tatizo ungeanza kwa kumwambia afanye kadha wa kadha na atafanikiwa kutoka kwenye hilo boxi,yaani mpe mbinu unazozijua wewe,kusema tu ana ugonjwa wa akili ndiyo umemsaidia nini sasa?wabongo muwe mnapunguza ujuaji
Siijui circle ya maisha yako unakutanaga na watu wa aina gani kila siku ila nikuulize!Kumbuka pia tunaishi mara moja, usipofurahia hapa duniani, unataka ufurahie mbinguni?
Uko sahihi, hivi vitu vinaendana na mipangilio ya mapato na matumizi;Kama ameipangilia vizuri, hakuna shida.Siijui circle ya maisha yako unakutanaga na watu wa aina gani kila siku ila nikuulize!
Umewahi kukutana na mtu mzima mzee above 55 anayekaa kwenye nyumba ya kupanga huku hana kipato cha uhakika akakushirikisha jinsi alivyo na maisha magumu?huyu nae alikuwa na mawazo haya haya nifurahi leo maana kesho siijui mbona fulani kafa na 37yrs mimi huo uzee utanikuta saa ngapi!
In reality wote tunaishi kwa kubahatisha so matokeo yoyote ukifa kijana ulikuwa unapambana kujiandalia uzeeni ukiwa na maisha magumu uzeeni hukujiandalia ujanani na hii ni karata moja nyepesi sana tunapaswa kuielewa.
Ubusy haukufanyi kushindwa kufanya kile akili imedhamilia we have time for things we want to do and inverselyMnadanganya tu hata mtu ukiwa busy kiasi gani ngono ukiindekeza inakutawala sana haijalishi muda
hutu atakuwa wa Kijiru au mayomboni, au jesani, au mbuluniMdigo wa wapi kaka, Duga, gombero, daluni, mwabza, petukiza, gezani, pongwe, kisimatuwi, gezani, kibiboni,stakishari, mwahako, usagara, vuo, kasera, manza, mwenza mwenye, mtombwani, monga, kwale, zingibari, gaurekeni au wapi, Fanya xn dhikri kaka,mtaje xn Allah kila mara, kumbuka xn umauti na siku ambayo utakua mbele ya Mola wako.
hii kaliHebu jiingize kwenye Madeni, kopa as much as possible hapo itafikia stage hata mzee hasimami wiki nzima.
Kinachokutesa mkuu ni ndoto , kama ulikua muangaliaji sana wa video za ngono zinatabia za kutengeneza ndoto ( fantacy ) za kila aina . Ushauri wangu boresha mazingila ya kufanyia tendo wewe na mpenzi wako sio kila siku nyumbani nendeni mazingira tofauti tofauti alafu hakikisha unampa pesa ya kununua silaha za maangamizi ( nguo na vifaa vya kuongeza mvuto na manukato ) alafu uwe unamsikiliza kama unavyowasikiliza unawanunua kifupi uko sawa kabisa wala hujalogwaHabari ndugu zangu....
Nahitaji msaada wa kimawazo kutoka kwenu. Mimi ni kijana wa miaka 28 na nimeoa nina mtoto mmoja, Kabila langu ni Mdigo mtu wa Tanga.
Maisha yangu ni ya kawaida, nafanya kazi kwa masaa I mean naweza ingia kazini saa 10 Alfajiri mpaka saa 5 asubuhi nipo nyumbani. Suala la kupata elfu 30 kwa siku kwangu ni la kawaida sana. Napata muda mwingi wa kushinda nyumbani na mke wangu.
Tatizo langu nasumbuliwa na kuwaza ngono tena nawaza haswa, naweza cheki XX sometime napiga punyeto, naweza nunua madada poa telegram, naweza kwenda Kimboka yani nina vurugu japo nina mke yupo ndani
Nimejaribu kuikataa hii hali nikidhani kuoa ni kutibu hili tatizo ila nimekuwa vile vile. Nikitoka kazini nalala kidogo, nikiamka naingia telegram nacheki mademu wanavojiuza nanunua naenda lala nae.
SILIDHIKI kingono kesho nataka tena na tena na tena. Nikiwa sina hela labda majukumu yameingiliana basi nadili kuangalia tu picha zao na viji-crip vyao hata saa 4 nachezea simu mpk ni ugomvi kwa wife.
Nahitaji msaada aisee, najiuliza nimelogwa? Nina jini? najiendekeza? Au ni mwili wangu tu.
Katika ukuaji wangu nilikuwa naogopa sana mademu nilikuwa mtu wa punyeto tu. Nimekuja kumuingilia mwanamke nikiwa na miaka 21 ila idadi ya Wanawake niliolala nao tangu hapo mpaka sasa tena kwa kasi ya ajabu Yani sio chini ya mia mbili(200)
Sio utani kabisaa aisee mpaka 4some nimefanya sana (mwanaume mmoja wanawake wa3)
Nahitaji msadaa niachane na hii hali nibaki na mke wangu. Nimepima juzi UKIMWI sina nikajiapiza sitaki demu ila asubuhi ya leo kipindi natoka kazini nishapitia kwa demu nimefanya (3some). Nimewanunua nimesex nao na si kwamba nitapiga kimoja nilale nop show show.
Kipindi sina kazi maalumu sina kipato chochote nilikuwa sina hela ila napiga sound mademu na huwa hawakatai so nilikuwa malaya wa kutongoza yaani sikumbuki kama nani alinikataaga nikitongoza hukatai yani kama vile wananiona LIMINIHOO...
Msaada, USHAURI....
PepoHabari ndugu zangu....
Nahitaji msaada wa kimawazo kutoka kwenu. Mimi ni kijana wa miaka 28 na nimeoa nina mtoto mmoja, Kabila langu ni Mdigo mtu wa Tanga.
Maisha yangu ni ya kawaida, nafanya kazi kwa masaa I mean naweza ingia kazini saa 10 Alfajiri mpaka saa 5 asubuhi nipo nyumbani. Suala la kupata elfu 30 kwa siku kwangu ni la kawaida sana. Napata muda mwingi wa kushinda nyumbani na mke wangu.
Tatizo langu nasumbuliwa na kuwaza ngono tena nawaza haswa, naweza cheki XX sometime napiga punyeto, naweza nunua madada poa telegram, naweza kwenda Kimboka yani nina vurugu japo nina mke yupo ndani
Nimejaribu kuikataa hii hali nikidhani kuoa ni kutibu hili tatizo ila nimekuwa vile vile. Nikitoka kazini nalala kidogo, nikiamka naingia telegram nacheki mademu wanavojiuza nanunua naenda lala nae.
SILIDHIKI kingono kesho nataka tena na tena na tena. Nikiwa sina hela labda majukumu yameingiliana basi nadili kuangalia tu picha zao na viji-crip vyao hata saa 4 nachezea simu mpk ni ugomvi kwa wife.
Nahitaji msaada aisee, najiuliza nimelogwa? Nina jini? najiendekeza? Au ni mwili wangu tu.
Katika ukuaji wangu nilikuwa naogopa sana mademu nilikuwa mtu wa punyeto tu. Nimekuja kumuingilia mwanamke nikiwa na miaka 21 ila idadi ya Wanawake niliolala nao tangu hapo mpaka sasa tena kwa kasi ya ajabu Yani sio chini ya mia mbili(200)
Sio utani kabisaa aisee mpaka 4some nimefanya sana (mwanaume mmoja wanawake wa3)
Nahitaji msadaa niachane na hii hali nibaki na mke wangu. Nimepima juzi UKIMWI sina nikajiapiza sitaki demu ila asubuhi ya leo kipindi natoka kazini nishapitia kwa demu nimefanya (3some). Nimewanunua nimesex nao na si kwamba nitapiga kimoja nilale nop show show.
Kipindi sina kazi maalumu sina kipato chochote nilikuwa sina hela ila napiga sound mademu na huwa hawakatai so nilikuwa malaya wa kutongoza yaani sikumbuki kama nani alinikataaga nikitongoza hukatai yani kama vile wananiona LIMINIHOO...
Msaada, USHAURI....
Mtoa mada usichukue huu ushauri utanishukuru baadaeKwanza mfahamishe mkeo hilo tatizo lako huyo ni doctor mzuri sn anza nae huyo...mueleze kilakitu usimfiche hatachembe.
Mtoa mada usichukue huu ushauri utanishukuru baadae