Msaada: Nimuingie vipi huyu dada?

M bip,
 
Sifa mojawapo ya mwanaume ni uwezo wa kushawishi kitu au mtu..

Kuwa presentable mbele yake bila kuzunguka zunguka..

Akigoma usiweke bifu.. kanyaga "klachi" change gear timua vumbi
 
Oyo mbona na hisi kama mnampigia hesabu shemeji yenu... Hebu acheni hizo mie nsha mwahi na hio toughness unaoina ni kwa vile nimemkaba kila kona
 
Kama hata namba anakunyima ujue hata utakapofanikiwa kuwa naye atakusumbua mbele ya safari, otherwise labda km unataka kupiga na kusepa
 
Hapo kwenye mpesa lazima aingie tu line nguvu ya pesa kubwa sana
Sio wote lakini wanaangalia pesa mkuu, usimpotoshe mshikaji maana ndio kwanza ataona km amemchukulia malaya anayeuza mbunye.
 
Mkuu ungekuwa unafikria kutafuta pesa hivyo sasa hv ungekuwa mbali sana. Mbunye kitu gani bwana? Ziko kibao.
 
Achana nae huyo ana mtu wake mwingine, jiongeze.

Sio kila mwanamke umuonae na kuongea nae hayuko kwenye mahusiano.
 
Achana nae huyo ana mtu wake mwingine, jiongeze.

Sio kila mwanamke umuonae na kuongea nae hayuko kwenye mahusiano.
Hata huyo aliyenae naye alimkuta kwenye mahusiano na mwingine. Love is cycle, mambo ya tupo wangapi hayo.
 
Mkuu huku kila mtu ana cv yake ya kuaproach sasa wewe sijui utaaply ipi
 
Mooonyeshe siku au mtajire no yake
Mwabie adi akuruhusu ndo utampigia , then baada ya muda atakuona mvumilivu
Then mpigie mwambie uvumilivu umekushinda
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…