Msaada:Nimeshindwa kuona diploma ya kilimo NACTE

Msaada:Nimeshindwa kuona diploma ya kilimo NACTE

Nipo najaribu ku apply diploma nataka cozi za kilomo nimelipia nacte naona ualimu na afya nomba kujuzwa wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnapokuwa mnajaribu kufanya kitu muwe mna uhakika umepata information za kutosha, Nacte walisema watapokea maombi kwao kwenye sector ya Afya na Teaching peke yake, hayo mengine yanayobaki maombi unatuma chuo husika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninaomba kuuliza, punguzo la maombi kwa Tshs. 10,000/= pia vyuo vya kilimo na mifugo vinahusika? Au bei ni ile ile 30,000/=
 
Ninaomba kuuliza, punguzo la maombi kwa Tshs. 10,000/= pia vyuo vya kilimo na mifugo vinahusika? Au bei ni ile ile 30,000/=

Hili ni kwa vyuo vyote vya umma na vyakilimo vikiwemo ndani ya agizo
 
Ninaomba kuuliza, punguzo la maombi kwa Tshs. 10,000/= pia vyuo vya kilimo na mifugo vinahusika? Au bei ni ile ile 30,000/=
Vyuo vya kilimo wizara ndo ilipanga bei ya maombi, So kama lengo ni kuapply jaribu kulipia elfu 30 ileile... Manake unaweza kulipa elfu 10 ukajikuta hujachaguliwa aisee
 
Vyuo vya kilimo wizara ndo ilipanga bei ya maombi, So kama lengo ni kuapply jaribu kulipia elfu 30 ileile... Manake unaweza kulipa elfu 10 ukajikuta hujachaguliwa aisee
Lakini navyo si viko chini ya NACTE? au vyuo vingine chini ya Nacte ikoje?
 
Back
Top Bottom