Skillseeker
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 225
- 34
Habari za kwenu wanaJF,
Naombeni mnisaidie. Niliinstall folder lock 7.1 na nikaiwekea password (master password). sasa sijaitumia kwa muda kidogo. toka jana nilikuwa nataka kuitumia ili niweze kupata files zangu lakini sijafanikiwa kwa kuwa password ninayoiingiza kila saa siyo yenyewe..Naombeni msaada wenu kwakweli..
yani hapa sijui nini cha kufanya maana kila nikifikiria sipati jibu...
Naombeni mnisaidie. Niliinstall folder lock 7.1 na nikaiwekea password (master password). sasa sijaitumia kwa muda kidogo. toka jana nilikuwa nataka kuitumia ili niweze kupata files zangu lakini sijafanikiwa kwa kuwa password ninayoiingiza kila saa siyo yenyewe..Naombeni msaada wenu kwakweli..
yani hapa sijui nini cha kufanya maana kila nikifikiria sipati jibu...