Naomba unisaidie na mimi. Plz,Nawasiliana nao katika namba ganiNenda kwenye forget passwordutaweka jina la account,ztakuja account zote zenye majina ayo,utachagua account yako,watakutumia link ya kureset kwny email ukiyofungulia au namba ya sinu uliyoisajili.
Kama vyote hivi hauna,wasiliana nao private,utatakiwa utoe i.d,ktambo sana nkiwahi kutumia driving license,inavhukua 3-5 days km utaratbu haujabadilika,utaukizwa maswali kadha yanayohusu karafiki zako na wewe mwenyewe.
Wakiridhika wanafungua
Namba zao sina mrembo,Naomba unisaidie na mimi. Plz,Nawasiliana nao katika namba gani
Niambie unatumia jina gan Instagram, Nikucheck private. Nikuelezee na mm nifanikiwe kama ww. Maana passwords naandika inakataaa. Na ubaya ndo nimesahau yahoo passwords yangu nilivyokuwa nafunguaga na namba ya xmu xkumbuk niliandikaga ipiNamba zao sina mrembo,
Ila nenda pale unapo log in,chagua forgot passwird,alaf utakua unajaza details utakazoulizwa,letsay namba ya simu au email
Nimefanikiwa tayar,Imerud🙏Namba zao sina mrembo,
Ila nenda pale unapo log in,chagua forgot passwird,alaf utakua unajaza details utakazoulizwa,letsay namba ya simu au email
Pole skua online but am glad ume solve ilo tatizo.Nimefanikiwa tayar,Imerud