JosephElly
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,432
- 1,034
Kwanza mm si mtumiaji wa kilevi aina yeyote. Ila nahisi nimeathirika kisaikolojia.
-Nimekuwa si muoga wa hata yale yanayostahili kuogopwa.
-nimepoteza mpaka hofu ya mungu.
-sina huzuni hata pale inapotakiwa kuwa na huzuni.
nimekuwa nikikabiliana nahali hizi kwa kuigiza uzuni na woga katika sehemu ambazo mwanadamu anastahili kuogopa au kuhuzunika.
tafadhali msaada wa mawazo doctor
-Nimekuwa si muoga wa hata yale yanayostahili kuogopwa.
-nimepoteza mpaka hofu ya mungu.
-sina huzuni hata pale inapotakiwa kuwa na huzuni.
nimekuwa nikikabiliana nahali hizi kwa kuigiza uzuni na woga katika sehemu ambazo mwanadamu anastahili kuogopa au kuhuzunika.
tafadhali msaada wa mawazo doctor