Msaada: Nimeona Kitu Kwenye Selection

Oh No! I'm Gonna die in Vain!!! I fought Hard to get Higher Education, But at the End..... I'm a Loser!!!!
Ebu weka matokeo yako na vyuo ulivyochagua. Mi nahisi competition imekutupa nje kama ufaulu wako ni kuanzia div 2 za mwisho alafu ukachagua vyuo vyenye competition kubwa kama UDSM, SUA, MZUMBE, ARDHI, MUHIMBILI utakuwa umechamalizwa kwahiyo utasubir second selection ambayo utaletewa vyuo vya private visivyo na hadhi kama vile Jordan, Archbipshop, Stella Maris, n.k kwa sababu hata vile vya private vizur vitakuwa vimeshajaa au kuondolewa ili na hivi vingine vipate. Hii ilitokea kwa dogo niliemuombea nafasi mwaka jana. Utahisi kukata tamaa ya kusoma ila utajikaza tu uende kama utapata mkopo ila ndo hivyo utakuwa kama umefungwa mdomo maana huwezi kutajataja chuo unakisoma kwa watu maana ni aibu.
 
Ebu weka matokeo yako na vyuo ulivyochagua. Mi nahisi competition imekutupa nje kama ufaulu wako ni kuanzia div 2 za mwisho alafu ukachagua vyuo vyenye competition kubwa kama UDSM, SUA, MZUMBE, ARDHI, MUHIMBILI utakuwa umechamalizwa kwahiyo utasubir second selection ambayo utaletewa vyuo vya private visivyo na hadhi kama vile Jordan, Archbipshop, Stella Maris, n.k kwa sababu hata vile vya private vizur vitakuwa vimeshajaa au kuondolewa ili na hivi vingine vipate. Hii ilitokea kwa dogo niliemuombea nafasi mwaka jana. Utahisi kukata tamaa ya kusoma ila utajikaza tu uende kama utapata mkopo ila ndo hivyo utakuwa kama umefungwa mdomo maana huwezi kutajataja chuo unakisoma kwa watu maana ni aibu.
Kwa mawazo kama haya una safari ndefu mno kujua nini maana ya elimu.
 
Hiyo yako wewe uliomba diploma!!! Na first selection ilishafanyika kwa walio omba mwezi wa tano! Sasa kinacho subiriwaaaa ni Secondon selection ambayo imeshamalizika na Majina wanasubiri ifike tarehe 31/8/2016 ndo yatangazwe kwa walio chagulia katika hii second selection!!

Wengine muwe mnasubiri vitu official ukikurupuka utapoteza pesa zako na nauli zako NACTE bado haijatoa majina kwa waliomba baada ya matokeo ya Form six kutoka na majina yanategemewa kutoka tarehe 31 mwezi huu sasa kama uliona umechaguliwa sehemu fulani na ghafla haupo tena ujue kuwa system ilikuwa ina Run na ni errors za kawaida kabisa ndo maana uliona hivyo so mpaka process ikamilike ndo utaona vizuri subirini wiki lijaro

Mkuu Sikuomba Diploma, Nimeomba Degree (Local Undergraduate) Kwa Umakini Kabisa Nikiwa Ninafahamu Nini Ninakifanya
 
Jaman mim naona tunapata shida bure kufikiria yasiyowezekana, kwa mim nilivyoielewa ile tarehe 31/8 inahusu watu wa waliomba diploma na certificate ila kwa kuwa na sisi tuliomba kupitia nacte na system tunayotumia ni moja ndiyo maana hiyo tarehe imeaffect mpaka profile zetu. Na uhakika haiwezi kuitwa second selection kama first selection haipo sasa hii kwetu iwe second selection hiyo first waliotoa kwa watu waliomba degree iko wap?

Haya Maelezo Yako Yanaleta Maana inayokaribiana Na Ukweli Kidogo.
 
HAPO HAMJAELEWA KITU
IKO HIV NACTE WAMECHANGANYA MADESA KWAN WANAOSUBILIA SECOND SELECTION NI WA CERT & DIPLOMA AMBAPO ILITOKA FIRST SELECTION AND NOW ARE WAITING FOR SECOND SELECTION ESPECIAL WHO APPLIED FOR SECOND ROUND
SASA KWAVILE WALE WA DIGRII WALIAPPLY TCU KUPITIA FILE LA NACTE NA MFUMO NDO ULE ULE ULIOTUMIKA NA WA CERT & DIPLOMA HIVYO HIYO TAARIFA NI YA WATU WA CERT & DIP INGWAJE IMEATHILI FILES ZA WATU WA DIGRII
 
Naona hakuna mwenye maelezo ya kutosha zaid ya wao wenyewe TCU/ NACTE.

SUBIRINI HIYO KESHO 31 AUGUST
 
Ebu weka matokeo yako na vyuo ulivyochagua. Mi nahisi competition imekutupa nje kama ufaulu wako ni kuanzia div 2 za mwisho alafu ukachagua vyuo vyenye competition kubwa kama UDSM, SUA, MZUMBE, ARDHI, MUHIMBILI utakuwa umechamalizwa kwahiyo utasubir second selection ambayo utaletewa vyuo vya private visivyo na hadhi kama vile Jordan, Archbipshop, Stella Maris, n.k kwa sababu hata vile vya private vizur vitakuwa vimeshajaa au kuondolewa ili na hivi vingine vipate. Hii ilitokea kwa dogo niliemuombea nafasi mwaka jana. Utahisi kukata tamaa ya kusoma ila utajikaza tu uende kama utapata mkopo ila ndo hivyo utakuwa kama umefungwa mdomo maana huwezi kutajataja chuo unakisoma kwa watu maana ni aibu.
Utapatje aibu je na ambaye amekosa kabisa ebu acheni dharau inmradi update bumu na elimu ndo kila kitu
 
Back
Top Bottom