Msaada: Nimelala na wanawake wengi sana

lekumok

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2018
Posts
589
Reaction score
773
Wakuu kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji ushauri au mnitie moyo.

Katika maisha yangu nimejikuta naangukia kwenye uhuni hivyo mpaka hapa ninavyoandika mada hii nishalala na malaya zaidi ya 160 wa kuwanunua.

Wa mtaani kwa kuwatongoza wanafika 20 na punyeto pia nimeanza toka 2010.

Sasa wasiwasi wangu mimi mpaka sasa sina mtoto.

Je, kuna uwezekano nikapata mtoto kweli?

Naombeni mchango wenu wakuu!
 
Tukusaidie nini sasa hapa?
 
Duh this is too much..nenda hospitali ukacheki ujue tatizo liko wap,usisahau spiritual checkup pia
 
Yaani kati ya hao wote hakuna hata mmoja aliyewahi kukusingizia mtoto?
 
Ushawahi kuugua gono?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…