Ahsante kwa ushauri mzuri sana. Lakini labda kutokana na ugeni wangu humu nimeshindwa kujieleza vyema. Lengo langu nilitaka kujua mfumo wa written interview unakuwaje ni maswali ya field hiyo au ni generala knowledge?
Okey, BAK nitajipanga vizuriNadhani wanataka kuona uwezo wako wa kujieleza na pia ufahamu wako wa eneo hilo ambalo umeomba kazi. Labda unaweza kupewa swali kuhusu mfanyakazi A ambalo wewe kama AHRO unatakiwa ufanye maamuzi au utoe ushauri wako kwa management ya juu. Kila la heri.
Amen!Roho ya Mungu akupe hekima na ufahamu wa kuelewa kila swali utakalokutana nalo! Na Roho Mtakatifu akutangulize kwa kila hatua utakayopitia
kama mtahiniwa/huenda hata ulisoma hiyo HR hapo hapo chuoni (mfanyakazi mtarajiwa wa chuo tajwa) unauliza usaidiwe mtandaoni. Hao wanafunzi watakuaje? VILAZA PLUS.Kuna uhusiano gani na nilichouliza mimi?
Sawa umesikikakama mtahiniwa/huenda hata ulisoma hiyo HR hapo hapo chuoni (mfanyakazi mtarajiwa wa chuo tajwa) unauliza usaidiwe mtandaoni. Hao wanafunzi watakuaje? VILAZA PLUS.
Sawa umesikika
Si vema kushukuru kwa kila jambo ni mtazamo, hisia mbaya pia zina uzuri wake, kuna vitu vingi mtu anaweza kupata lakini yote inatokana na vingi alivovikosa na kuviacha uko nyuma.
Written interview mara nyingi kama sio zote ina lenga technical parts(courses) ulizosoma darasani.
Hiyo pitia zaidi mambo uliyofubdishwa chuoni. Ingekuwa ni private ama taasis za kigeni mf .NGOS.....ningekushauri vingine.
Pia wapaswa kurudia kusoma tangazo la kazi kujua majukumu ya nafasi tajwa, pili ijue historia ama mission & vision ya chuo husika na administration structure kwa juuu juu tu ikiwezekana.
Tambua nafasi hiyo inalipwa mshahara kiasi gani pia ukiulizwa swali hilo usitaje kiwango exactly bali unataja range may be from 700-1.2m.
Zaidi maswali yafuatayo yanaweza kuulizwa katika oral interview
1. Why we should recruits you not any other
2. What's will you do with such posts at our university
3. What's your greatest achievement
4.what's are your weaknesses
5.what's are your strong area
5.How do you master your stresses
6.What's changes will u brings
,7. Have u ever did a mistake? What's was it ? What your learnt......
8. If you miss this post what will you do?........I will let myself dying![]()
![]()
9. What's motivates people to do job?
Is there a difference between full half & half full? Job & work![]()
![]()
![]()
Sasa mtu ameomba umsaidie halafu unamkejelikama mtahiniwa/huenda hata ulisoma hiyo HR hapo hapo chuoni (mfanyakazi mtarajiwa wa chuo tajwa) unauliza usaidiwe mtandaoni. Hao wanafunzi watakuaje? VILAZA PLUS.
Ana stress huyo mkuu, na mara nyingi watu wanaojibu hivo unakuta ni wivu unawasumbua alitaka yeye aitwe kwaio anatumia namna tu akukejeli akutoe kwenye focus,akuambukize his/her miserable life. Ni wa kuwapuuza tu.Sasa mtu ameomba umsaidie halafu unamkejeli
Au ukute ni hewa alipita kimagumashi na hivo alishatumbuliwaAna stress huyo mkuu, na mara nyingi watu wanaojibu hivo unakuta ni wivu unawasumbua alitaka yeye aitwe kwaio anatumia namna tu akukejeli akutoe kwenye focus,akuambukize his/her miserable life. Ni wa kuwapuuza tu.
mleta mada kila la heri jiandae sana sana kwa maswal ya ufahamu na mengine ya kawaida yanayohusu kaz yako na profile ya chuo.
Jitahidi na yai,liwe vizuri.mavazi ya heshima,ujue utamaduni wa chuo ktk utendaji kaz,mavazi,mshahara kwa ngazi uliyoomba,nk.No wonder Mzumbe inazalisha Vilazzza
Mkuu inaonekana unapenda ligi sana.kama mtahiniwa/huenda hata ulisoma hiyo HR hapo hapo chuoni (mfanyakazi mtarajiwa wa chuo tajwa) unauliza usaidiwe mtandaoni. Hao wanafunzi watakuaje? VILAZA PLUS.
AhsanteKaribu sana Mzumbe
USHAURI WA MSINGI!Mambo marafiki,
Mwaka jana Mzumbe University walitangaza nafasi katika kada mbalimbali, mimi niliomba Assistant Human Resource Officer. Hatimae jana nimepigiwa simu ili nijiandae kwa Written Interview mwezi ujao.
Naomba kwa wazoefu na wanaojua natakiwa kujiandaa kwa maswali gani na nitegemee mtihani wa namna gani?
Asanteni sana.....