Mwilabheghe
Member
- Feb 14, 2018
- 30
- 14
Wasalaam!
Naomba Msaada wa kifungu cha sheria kinaochoeleza ukomo wa madeni. Nakumbuka nimewahi kushuhudia mtu anashinda kesi Kama hii kortini kwa maelezo kuwa deni limekoma. Hakimu Akasema deni likikaa miaka mitatu hukoma kwa majibu wa sheria na kifungu alikitaja sasa nimekisahau. Naomba kukumbushwa
Naomba Msaada wa kifungu cha sheria kinaochoeleza ukomo wa madeni. Nakumbuka nimewahi kushuhudia mtu anashinda kesi Kama hii kortini kwa maelezo kuwa deni limekoma. Hakimu Akasema deni likikaa miaka mitatu hukoma kwa majibu wa sheria na kifungu alikitaja sasa nimekisahau. Naomba kukumbushwa