Habari zenu wanajamii Forum..
Mimi nimeajiriwa na kampuni moja ya private (manufacturing) kama ASSISTANT ACCOUNTANT na kwa sasa nina muda wa kama mwaka mmoja na miezi kadhaa hivi, Ila sina aman na hapa ninapofanyia kazi, sio kwamba wananinyanyasa la hasha lakini binafsi moyo wangu hauna aman ya kufanya kazi mahali hapa,..
Nlikua naomba kama kuna campuni au shirika au sehemu yeyote yenye nafasi ambapo naeza kufanya kazi kama ACCOUNTANT please wasialiana nami pm! Kuhusu elimu Nina degree (Bcom Accounting) na ninajiandaa kuchua masomo ya cpa! naomba anaeweza kunisaidia. Ninaweza kutumia accounting Packages kama ERP, Votebook, Sage 300 na Tally Erp 9
Thanks in Advance
It happened kwangu pia I resigned simply I was totally not happy but now am happy so fuata moyoNipo mjini mkuu,,, ila nimeipenda hii point yako Ila bana kikubwa.... Kazi ni ile inayo kupa furaha hata kama unafanya bure.
Mwambie akupe na jina lake uende sasa iviukiondoka nipe jina la kampuni nitume cv yangu
Una matatizo makubwa kuliko unavyojijua,unapewa ushauri unabishaHakuna tatizo mkuu imetokea tu sijisikii furaha ile nnayotaka kwa kuendelea kuwa hapa
Habari zenu wanajamii Forum..
Mimi nimeajiriwa na kampuni moja ya private (manufacturing) kama ASSISTANT ACCOUNTANT na kwa sasa nina muda wa kama mwaka mmoja na miezi kadhaa hivi, Ila sina aman na hapa ninapofanyia kazi, sio kwamba wananinyanyasa la hasha lakini binafsi moyo wangu hauna aman ya kufanya kazi mahali hapa,..
Nlikua naomba kama kuna campuni au shirika au sehemu yeyote yenye nafasi ambapo naeza kufanya kazi kama ACCOUNTANT please wasialiana nami pm! Kuhusu elimu Nina degree (Bcom Accounting) na ninajiandaa kuchua masomo ya cpa! naomba anaeweza kunisaidia. Ninaweza kutumia accounting Packages kama ERP, Votebook, Sage 300 na Tally Erp 9
Thanks in Advance
OKIt happened kwangu pia I resigned simply I was totally not happy but now am happy so fuata moyo
Umeona MZAWA JF inabidi anipe niwahi mapemaMwambie akupe na jina lake uende sasa ivi
uHabari zenu wanajamii Forum..
Mimi nimeajiriwa na kampuni moja ya private (manufacturing) kama ASSISTANT ACCOUNTANT na kwa sasa nina muda wa kama mwaka mmoja na miezi kadhaa hivi, Ila sina aman na hapa ninapofanyia kazi, sio kwamba wananinyanyasa la hasha lakini binafsi moyo wangu hauna aman ya kufanya kazi mahali hapa,..
Nlikua naomba kama kuna campuni au shirika au sehemu yeyote yenye nafasi ambapo naeza kufanya kazi kama ACCOUNTANT please wasialiana nami pm! Kuhusu elimu Nina degree (Bcom Accounting) na ninajiandaa kuchua masomo ya cpa! naomba anaeweza kunisaidia. Ninaweza kutumia accounting Packages kama SAP ERP, Votebook, Sage 300 na Tally Erp 9
Thanks in Advance
watu wanasaka kazi we tatizo huna amani mshukuru mungu kwa kazi hiyo muombe akupe amaniHabari zenu wanajamii Forum..
Mimi nimeajiriwa na kampuni moja ya private (manufacturing) kama ASSISTANT ACCOUNTANT na kwa sasa nina muda wa kama mwaka mmoja na miezi kadhaa hivi, Ila sina aman na hapa ninapofanyia kazi, sio kwamba wananinyanyasa la hasha lakini binafsi moyo wangu hauna aman ya kufanya kazi mahali hapa,..
Nlikua naomba kama kuna campuni au shirika au sehemu yeyote yenye nafasi ambapo naeza kufanya kazi kama ACCOUNTANT please wasialiana nami pm! Kuhusu elimu Nina degree (Bcom Accounting) na ninajiandaa kuchua masomo ya cpa! naomba anaeweza kunisaidia. Ninaweza kutumia accounting Packages kama SAP ERP, Votebook, Sage 300 na Tally Erp 9
Thanks in Advance