Msaada: Nimeajiriwa Kama Assistant Accountant

Msaada: Nimeajiriwa Kama Assistant Accountant

Kazi zilivyo za shida wewe unataka uhame hapo,? Mkuu Jifunze kazi mdogo mdogo huku ukipanga mipango ya baadae.Hakuna mahali pa kazi ya kuajiriwa utakapokuwa na amani 100%
 
hutaki kuwa assistant accountant?hicho ndio cheo cha mti mwenye bachela au masters, mhasibu lazima uwe na cpa,jitahidi usome pate cpa,hauichukui tu
 
Wewe itakua kwenu mambo safi huna tegemezi so may be hiyo kaz sio ya hadhi yako.. Kwa mtoto wa mkulima hiyo fursa ni kama dhahabu ndo maana unaonekana unakufuru!
 
Mm nahisi tatizo la mtoa mada ni hicho cheo cha Assistant hakitaki anataka awe Accountant kaazi kweli kweli wenzake wanatafuta hizo kazi hawazipati wengine wanazichezea hatare kabisa
Sio kuzichezea, kuna mengi ya kuangalia kama mshahara mdogo, mazingira sio rafiki na pia la msingi sana Kujikuza kitaaluma, kama kafanya kazi mwaka mmoja kama Assistant nina imani kabisa dhumuni lake yeye la kuwa Accountant kamili ni kuwa kazi ya U accauntant anaiweza so haoni haja ya kujihold back wakati anaweza fanya mambo makubwa ambayo yatamsogeza mbele
 
mmmmh we dada mimi nina miaka 3 cna kazi....mbona unaniumiza roho hivyo unataka kuacha kazi kizembe na cpa foundation stage nshamaliza lakin sipati...basi niunganishie hapo unapoacha.......unaniumiza roho hujui tu
 
Tatizo ni kwamba hujasota mtaani
ungesota atleast miaka hata mi3 tu hujapata kazi unaishi ki-jobless tu
hata kama hio office ingekua mwanalumango ungejisikia amani
 
tatizo kubwa la wahitimu! wetu wengi wanakuwa na expectation kubwa sana wakiwa vyuoni, wewe unategemea utaenda tu kuwa ACCOUNTANT?? unacheza na nafasi ya accountant!!! unafikiri watu wanatoka tu vyouni kuwa maacountant? pata uzoefu kisha ndo upande uwe accountant

tena bora wewe ni assistant accountant wenzion wanaanziaga account assistant
 
Back
Top Bottom