Mm nahisi tatizo la mtoa mada ni hicho cheo cha Assistant hakitaki anataka awe Accountant kaazi kweli kweli wenzake wanatafuta hizo kazi hawazipati wengine wanazichezea hatare kabisaInawezekana shida ya ukosefu wa amani inatokana na wewe kuwa na tatizo la kisaikolojia na hata ukihamia sehemu nyigine utaendelea kujisikia hivyo hivyo kuhusu ukosefu wa amani. Nitaku inbox namna ya kukusaidia ili uweze kufanya kazi zako kwa ufasaha.
Hahaha umenifanya nicheke hapa aiseeukiondoka nipe jina la kampuni nitume cv yangu
hapana mkuuUmetongozewa?
asante kwa ushauri na ndo naanza sasaSoma CPA
nimegee mkuu.. tuonjeKuna mchongo wa kazi NHIF nikuunganishe? Mshahara mnono sana kama uko tayari nikumegee pande![]()
Nipo mjini mkuu,,, ila nimeipenda hii point yako Ila bana kikubwa.... Kazi ni ile inayo kupa furaha hata kama unafanya bure.Hisia zangu zina niambia una kitu kitwa "Home sick" Maybe umepata kazi mbali na maeneo uliyo kwisha kuya zoea... Maybe umepata kazi kwenye kaji mji ambako hakaja endelea na hauoni fursa yoyote.....
Kama sio hivyo basi nahisi upo peke yako peke yako...maybe uko lonely au una depression..
Ila bana kikubwa.... Kazi ni ile inayo kupa furaha hata kama unafanya bure.... Cha kwanza Passion cha pili commitment.. Hivi vitu usipo kua navyo trust me hio kazi muda si mrefu uta iacha.
Kazi mbaya ukiwa nayooooooooooo
hahaa poa mkuuukiondoka nipe jina la kampuni nitume cv yangu
Nasubiria tu!....Nashangaa hadi saa hizi hujasema asente!!Aiseeee
Sina maana hyo umenielewa vibayaPRIDE ndio tatizo lako....kwakuwa una digrii unadhani unastahili nafasi inayofuata na si hiyo uliyopewa, nadhani kuwa na digrii ya Bcom/accounts haikufanyi kuwa accountant.....
asante kwa ushauri wakoYeah! Bila hivyo utendaji kazi utakua ni shida.... Tuvitu tudogo tudogo kazini tuta kupa hasira... Kuna time utaacha hata kuongea na co_workers unakua kivyako vyako...
Mawazo hayo ya hio kazi...
Mtaani huku niku gumu sana... Asi kwambie mtu!
Nili wai kuacha kazi nisiyo ipenda... Haikuni sumbua sana kiakili... Ila kuna kamsoto flani nili kapata Dah! Nili kula hela yote ika isha... Dadeki..
USHAURI : Weka malengo mapema kwenye hio kazi, ili siku una aamua kuiacha uwe walau umeyafikia.
Kama niku soma hio CPA do it now... Hakuna muda mwingine. Kama niku save kiasi flani cha pesa do it now... Hakuna time nyingine...
AsanteeeNasubiria tu!....Nashangaa hadi saa hizi hujasema asente!!
Hyo kufuru iko api?? kama huna cha kuchangia u better stay quiteDah kuna watu mnapenda Sana kukufuru mungu.acha kazi