Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,539
- 36,994
Saizi ndiyo akili imekurudia vizuri baada ya kuforce eeeh.
Usiogope kulea mkuu.Habari za leo wakuu natumaini mpo wazima kbsà tena wa afya...
Habari ndo iyo kwa uwakika zaidi pima na wewe ukiwepo wadada wa ku screenshoot hawa sioSo kile kipimo kinaonesha anaujauzito
Mbona hapo inaonesha ni kama kitandani. Kipimo kinauzwa buku ukifika mwambie akojoe kny kopo upime kwani sh ngap.Kwa wale wajuzi wa kuchunguza hiki kipimo kama kimescreenshotiwa hata tukiangalia mazingira sio rafiki Kwa maisha yetu I mean chumbani hiyo marble akiyotumia na uhakika hana
Mwisho kbsa kajipimia nyumbani na sio hospital hii picha inanipa ukakasi mm kama nahadawa hapa View attachment 1906125
Ni muda gan umepita,kuwa makini.. wengine wanachukua mkojo wa mama mjamzito na kupima ili tu akuchachafye.Kwa wale wajuzi wa kuchunguza hiki kipimo kama kimescreenshotiwa hata tukiangalia mazingira sio rafiki Kwa maisha yetu I mean chumbani hiyo marble akiyotumia na uhakika hana
Mwisho kbsa kajipimia nyumbani na sio hospital hii picha inanipa ukakasi mm kama nahadawa hapa View attachment 1906125
Nenda nae hospitali wewe, ukimsikiliza kiivo mwanamke huwez kumshinda atakudanganya tu.Kuna kipimo kanitumia hapo juu kinaonesha anaujauzito ebu go previous uje uniambie mkuu
Hajui kuangalia icho kipimo sasa mkuu. Si unaona anauliza hapo juuMbona hapo inaonesha ni kama kitandani. Kipimo kinauzwa buku ukifika mwambie akojoe kny kopo upime kwani sh ngap.
Ameshaambiwa kwamba kinaonesha imo. Yeye haamini ndio nashangaa kwann asinunue akapima mbele yakeHajui kuangalia icho kipimo sasa mkuu. Si unaona anauliza hapo juu
Kama yai lilikuwa lishapasuka hakuna kitu hapo anataka kula hela huyoHabari za leo wakuu natumaini mpo wazima kbsà tena wa afya,
Tuende katika mada yetu. Last months nilikutana na demu mmoja hivi final nikaforce nikala mzigo unfortunately alikuwa ametoka kwenye siku salama jana alafu mimi nikakutana nae leo...
Ishu ni kua wanaume wengi huo ujuzi wa uzazi kwa mwanamke hatuna. Huyu mwamba atapigwa tu, kurukaruka kwa maharage ndio kuiva kwake. Atakuja jf, ataend fb na kwa washkaji demu akimshikia bango anaila tu iyo ela.Kama yai lilikuwa lishapasuka hakuna kitu hapo anataka kula hela huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa hana mimba kabisa. Ingekua mitatu ndiyo mimbaKatika kupima ananiletea haya majibu ndugu zangu hapo mzigo umetiki au View attachment 1906059
Ni mambo yameevolve au? Mbona kama ovulation days ni nyingi mno? Inatakiwa ziwe nne tu tangu siku salama ziishe.Mzunguko wakehuu hapaView attachment 1906078
Mkuu usiogope kulea,nenda kanunua kipimo,chukua kopo dogo safi na kavu akojoe apime tena.Huyu manzi anataka kunipiga PESA hakuna namna ngoja nimkazie.
Kuna mda nimwambia tukapime hospital akagoma anadai why simuamini
Mzee baba Kama mimba imo mkojo hata uwe wa saa 8 mchana na jua lake kinasoma imo.Mkuu usiogope kulea,nenda kanunua kipimo,chukua kopo dogo safi na kavu akojoe apime tena.
Kama ipo basi mkafungue kadi ya kliniki ya mama mjamzito.
Zingatia: Wanashauri kipimo kifanyike baada ya wiki 2,lakini pia mkojo wa kupima ni ule wa kwanza asubuhi.