okonkwo jr
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 2,419
- 1,737
Huyo jambazi ni nomaa yaani mara moja anatupia kitu!
Kwani wapi amesema hakuwa nayo hadi akapime?
Kwanini uwe na wasiwasi wa, yeye kuambukizwa na huyo jambazi na sio yeye ndiye labda anaweza kumuambukiza huyo jambazi magonjwa ya zinaa?
Kwanini uwe na wasiwasi wa, yeye kuambukizwa na huyo jambazi na sio yeye ndiye labda anaweza kumuambukiza huyo jambazi magonjwa ya zinaa?
It may be a parental accident but not divine accident.
Keep the baby, don't get down to your rapper level. You are not a killer. Give God all your pains and everything, He will take care of that.
What if after abortion you won't be able to concieve again?
Do you think the incident will go away after abortion? Nope you will have a double load I assure you.
Just pray ili Mungu akupe nguvu. Mtihani ulionao ndio utakaopeleka kwenye ushindi mkubwa maana unakuvusha kutoka kwenye watu wa kawaida kama mimi na kuwa mtu mwingine.
Mungu akusaidie.
Khaaa wewe ndo huyo jambazi nini?
kama unahisi unauwezo wa kumpenda mtoto .. na kulea na haupo tayari kwa majukumu nenda hospitali haraka waitoe na upime HIV na magonjwa ya ngono .... usijaribu kutoa peke yako ... siku nyingine ukibakwa unatakiwa uwahi hospitali mapema
Mmh, kwenye kubakwa na jambazi? Dah pole sana kama ni kweli. Unahitaji counseling kwanza kabla ya kutoa mimba. Marie stopes wana huduma rafiki, wapitie kwanza.
Nambie mpenzi, miss you.
kwa sababu angeenda hospitali lazima wangempa dawa a kuzuia hiyo mimba ambazo najua moja inaitwa morning after pills na dawa nyingine za kuzuia magonjwa ya ngonoKwani wapi amesema hakuwahi hospitali baada ya kubakwa?