Jamani naomba mnisaidie,
Nitumie dawa gani ili niweze kutoa ujauzito wa mwezi mmoja na wiki? Nimefikia uamuzi huo baada ya kugundua nina ujauzito na siko tayari kuzaa na mtu nisiyemjua.
Iko hivi:
Ni mwezi sasa umepita tulivamiwa sehemu niliyopanga, sijui kama na wenzangu iliwatokea ila wezi hao waliingia vyumba vinne tofauti na changu kikiwemo, waliingia kwangu walihitaji hela nasikitika na mmoja wao aliniingilia kimwili, sikua na jinsi kwasababu walikuwa na silaha.
Hivyo naombeni mnisaidie, siwezi kuzaa na mtu nisiyemjua jamani.
Nitumie dawa gani ili niweze kutoa ujauzito wa mwezi mmoja na wiki? Nimefikia uamuzi huo baada ya kugundua nina ujauzito na siko tayari kuzaa na mtu nisiyemjua.
Iko hivi:
Ni mwezi sasa umepita tulivamiwa sehemu niliyopanga, sijui kama na wenzangu iliwatokea ila wezi hao waliingia vyumba vinne tofauti na changu kikiwemo, waliingia kwangu walihitaji hela nasikitika na mmoja wao aliniingilia kimwili, sikua na jinsi kwasababu walikuwa na silaha.
Hivyo naombeni mnisaidie, siwezi kuzaa na mtu nisiyemjua jamani.