Msaada: Nikiweka laini ya kibongo haisomi

Msaada: Nikiweka laini ya kibongo haisomi

Iyegu

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
6,276
Reaction score
12,424
Nina windows phone (nokia lumia 521) ya urithi na muhusika alikuwa anaitumia USA, sasa shida nkiweka laini zetu za kibongo haisomi, mafundi kadhaa wameshindwa kunisaidia, mwenye ujuzi na haya mambo anisaidie mawazo.

Asanteni
 
Nione,ila hela ndefu sana ya kuvunja nao mkataba hao USA0715 378899
 
Nenda kwenye setting kisha resore factory setting

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Huwezi kuli restoring,lazima iwekwe country code,km leo nilipata kutoka south africa na imetoka
 
Jaribu kuinstall rom nyingine kwa kutumia nokia care suite. Google jinsi ya kufanya hivyo labda itasaidia maana hii unaweza kuinstall rom ya nchi nyingine kabisa
 
Jaribu kuinstall rom nyingine kwa kutumia nokia care suite. Google jinsi ya kufanya hivyo labda itasaidia maana hii unaweza kuinstall rom ya nchi nyingine kabisa

Ataipata wapi rom nyengine? Maana kama sjakosea 521 ni ya t-mobile tu
 
Hi guys natumia TECNO ina android ya jelly bean na mimi nahitaji niweke kit-kat nafanyaje?
 
Back
Top Bottom