Ray waniache
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 737
- 507
Wakuu nina tatizo kwa simu yangu
Simu yangu ni ya LG G3 tatizo linakuja kuwa nikiwasha data nikiingia internet tu inajizima na kujiwasha yenyewe sasa nashindwa kujua tatizo ni nini?
Maana yake ni kuwa nashindwa kutumia hata whatssap au mtandao wowote nikiwasha tu data za internet on inajizima saa hiyo hiyo na kujiwasha.
Nisaidieni nifanyeje wakuu
Inanisumbua sana kuna wakati battery inasoma ipo 70% hapo hapo mara inaandika battery low Baada Ya muda tena inaandka ipo 4%.
Nikiwasha data ndo inajizima nikiweka airplane mode haizimi
Sasa hivi nikiwasha data ni mpk niwe nimeiweka kwenye chaji yaan niitumie huku inaingiza bila hivyo inajizima.
Msaada please wakuu.
Simu yangu ni ya LG G3 tatizo linakuja kuwa nikiwasha data nikiingia internet tu inajizima na kujiwasha yenyewe sasa nashindwa kujua tatizo ni nini?
Maana yake ni kuwa nashindwa kutumia hata whatssap au mtandao wowote nikiwasha tu data za internet on inajizima saa hiyo hiyo na kujiwasha.
Nisaidieni nifanyeje wakuu
Inanisumbua sana kuna wakati battery inasoma ipo 70% hapo hapo mara inaandika battery low Baada Ya muda tena inaandka ipo 4%.
Nikiwasha data ndo inajizima nikiweka airplane mode haizimi
Sasa hivi nikiwasha data ni mpk niwe nimeiweka kwenye chaji yaan niitumie huku inaingiza bila hivyo inajizima.
Msaada please wakuu.