issaramadhani
Member
- Jan 29, 2017
- 14
- 4
Jaman samahani nina PC yangu dell I5 3470 nilikua nataka kujua kuwa kama nitainunulia graphics card inacheza game kubwa kama GTA V msaada plz.
Itacheza vizuri tu usihofuJaman samahani nina PC yangu dell I5 3470 nilikua nataka kujua kuwa kama nitainunulia graphics card inacheza game kubwa kama GTA V msaada plz.
hapo ilipo inacheza gta v bila hata graphics card, just punguza tu quality ya graphics.
gta v inacheza mpaka kwenye vitablet sembuse specs kubwa kama hizo? i5 3470 ni 3rd gen na gpu yake ni intel HD4000.
angalia hii ni laptop ya 3rd gen na inarun vizuri, wewe utapata perfomance kubwa kushinda hii
kwenye gaming ni graphics mkuu gpu zipo nyingi tu we tafuta gpu kwa uhakika wa kucheza games zoe kwenye settings nzuriJaman samahani nina PC yangu dell I5 3470 nilikua nataka kujua kuwa kama nitainunulia graphics card inacheza game kubwa kama GTA V msaada plz.
Oceanofgames.comWakuu naombeni msaada kupata game ya gta vice city