Msaada: Nifanyaje nimfikishe kileleni?

Msaada: Nifanyaje nimfikishe kileleni?

Jitaidi kumuandaa mkuu usiwe unampalamia tuu hyo inakufanya unapiga kazi kwa muda mfupi make nahisi unakua umempania sana na unajikuta hutimizi lengo au jitahidi ukiwa nae vuta hisia kwa mwanamke mwingine kabisa tofauti na yeye, iliwahi nisaidia hii
 
Ila kinachofanya pia afike kileleni ni utayari wake akatimwingine kabla au ukiwa katika tendon anawaza kutoridhishwa so ningumu kwa mtu kama huyo kufurahia tendo maana akili take ameshaipeleka mahala sio pia jitahidi kutumia stail ambazo zitamkuna kiungo chake cha nje maana Kile ndo kilachopelekea mwanamke apate raha endapo utakua unakisugua
 
Fanya mazoezi mkuu... Penda kutumia vyakula vya asili na epuka mafuta sana. Mazoezi ya muhimu. Pia kuna watu husema kegel exercise hufanya mtalimbo kuwa imara.
Unaeza kuja na mtalimbo imara na pia asifike kileleni kunawengine kutumia vidole tuu au ulimi na mwanamke ana p zaidi ya Mara moja
 
Eee hafiki kileleni nipe namba yake pm haafu nimtafute mi huwa wanarudisha pesa
 
...mwongopee kwa kwa maneno matamu matamu / mpaka ajenge utulivu wa akili / mpapase weeee...
huku ukitafuta wapi ukimgusa tumacho twake tunakuwa kama tumejaa maji,[HASHTAG]#ungepata[/HASHTAG] na kale kapoda ka DRC, wacha weeee...!?
Hahahahahahhahah, Hivi hiyo ya DRC inafanya kazi kweli? Na ina last kwa mda gani? Hah
 
mnyonye..matiti {kila titi dakika 5}...mnyonye k {dakika 5}...mnyonye mk*nduni {dakika 5}...mledenda {dakika 5} ukimaliza mtie vidole kwenye k {dakika 5} cheze nje ya k {dakika 5} tafuta gspot ndani kabisa ya uke kwa juu urefu wa kidole cha kati sugua uko taratibu {dakika 5} ukiona kaloana mgonge taratibu asipolizika jirecord utuonyeshe tuzidi kukufundisha labda kuna mahara unakosea
Ahhahaa, Dakika zote hizo mkuu! Kama unatafuta Ukuu wa Kijiji!
 
Hivi kwa nini wanawake wengine hawataki kuwekewa vidole kweny Seheme zao(K)!?!??! Nina uzoefu wa Wasichana wawili, kila nikitaka kuwatia vidole wanakataa, sasa nashindwa hadi kuwapa utamu wa G-spot hah
 
Hivi kwa nini wanawake wengine hawataki kuwekewa vidole kweny Seheme zao(K)!?!??! Nina uzoefu wa Wasichana wawili, kila nikitaka kuwatia vidole wanakataa, sasa nashindwa hadi kuwapa utamu wa G-spot hah
Unamakucha marefu
Au huwa unakandamiza sana unawaumiza lzm wagome
 
Watu wengine bhana,
mambo yote yako huko serikalini,
wewe umelala
 
Ole wenu mnaotaka haki sawa maana haijawah tokea mwanaume asifike kilelen km yupo fit,,,Ila wanawake wanaweza gegedwa miaka mitatu na kilelen akasikia cha mlima klnjaro
 
Back
Top Bottom