Msaada: Nifanyaje nimfikishe kileleni?

Msaada: Nifanyaje nimfikishe kileleni?

ilo ni tatizo la kutokujiamini huwa linasababisha uwahi kukojoa mkuu ongea na Dem wako ukikaribia kukojoa akupige dole la kati stim zitakata utaanza upya
 
ilo ni tatizo la kutokujiamini huwa linasababisha uwahi kukojoa mkuu ongea na Dem wako ukikaribia kukojoa akupige dole la kati stim zitakata utaanza upya
hop dem wako anakufanyiaga hivyo but micna demu nina mke wa ndoa
 
Nambie kazini huwa unaenda saa ngapi na unarudi saa ngapi

Then nipe namba ya mkeo na unielekeze kwenu

Nataka nihakikishe "Je ni kweli mkeo hafiki kileleni" au anatafuta Excuse ya kuchepuka

Technically,nataka nithibitishe validity ya iyo hypothesis
 
Nambie kazini huwa unaenda saa ngapi na unarudi saa ngapi

Then nipe namba ya mkeo na unielekeze kwenu

Nataka nihakikishe "Je ni kweli mkeo hafiki kileleni" au anatafuta Excuse ya kuchepuka

Technically,nataka nithibitishe validity ya iyo hypothesis
misifanyi kazi mkuu mke wangu ndo anafanya bank
 
hakyamungu ndoa zimeamia JF yaani uache kumuuliza yeye mwenyewe akikaa vipi anafika kileleni unatuuliza sisi haya muweke (kitotatota) atakojoa khaaaaaaaaa!
 
...mwongopee kwa kwa maneno matamu matamu / mpaka ajenge utulivu wa akili / mpapase weeee...
huku ukitafuta wapi ukimgusa tumacho twake tunakuwa kama tumejaa maji,#ungepata na kale kapoda ka DRC, wacha weeee...!?
 
Hahahahaha njooo unishikie paja nagegeda VERO wa Institute of adult Education
 
Pole mkuu. Kwa uzoefu wangu baadhi ya basic tips za wewe kuzingatia ni hizi hapa:

1. Dumisha mawasiliano na mpenzi wako (both verbal na nonverbal).

2. Epuka kupanic na unatakiwa ujiamini.

3. Nakushauri ujifunze uujue mwili wa mwanamke ili kuelewa maeneo sahihi ya wewe kuelekeza concentration yako wakati wa majamboz.

4. Kujenga stamina ya mwili wako na afya kwa ujumla kwa kufanya mazoezi, kupunguza stress, kula vyakula sahihi na kupata usingizi wa kutosha.

5. Epuka kuwa mbinafsi wakati wa sebene. Jizoeshe kumfanya mpenzi wako ndio priority yako kwenye kuridhika (satisfaction).

With continuous practice utajikuta taratiibu unapongezwa na shemeji kwa performance nzuri.
 
Kwanza nakupa hatua ya kwanza usikubali ulale na chupi ww na yeye alafu usitumie blangeti siku hiyo.....hatua ya kwanza
 
Back
Top Bottom