Msaada: Nifanyaje nimfikishe kileleni?

Msaada: Nifanyaje nimfikishe kileleni?

Unawaza kumfikisha wakati mwenzio anawaza utakufa lini amiliki nyumba.

Pole
 
Aache uvivu,
Afanye juhudi na yeye mwenyewe.
Watalii kila siku Wanashuka na kupanda wenyewe KILELE cha Mlima Kilimanjaro.
Sasa Kwanini akuachie Hilo jukumu wewe?

Tafakari.
 
Kwani wewe unatumia mda gani uwapo kwenye game na huyo partner wako? Maana kuna wengine utapiga mpaka utafia hapo na still hakuna cha kileleni ama mteremkoni...
UPOOOOOOO
 
hakyamungu ndoa zimeamia JF yaani uache kumuuliza yeye mwenyewe akikaa vipi anafika kileleni unatuuliza sisi haya muweke (kitotatota) atakojoa khaaaaaaaaa!
Fafanua kidogo ikiwezekana hata kapicha wengine hatujui
 
Dona, karanga mbichi, mihogo mibichi, mboga za majani ambazo zimepikwa kidogo tu, viazi vilivyochemshwa, asali, maziwa, matunda aina zote, punje za mapapai, punje za tikiti maji, punje za machungwa, kitunguu swaumu, korosho e.t.c......pia kunywa maji kwa wingi na fanya mazoezi kwa wingi pia!
Hivi matumizi ya kitunguu swaumu yapoje mkuu?
 
Ukitaka kumfikisha kwa haraka sana mwanamke kileleni mpige pige na wallet iliyojaa wekundu kwenye chuchu mkuu

Pia badili Id yako mkuu
Naombeni msaada jinsi ya kumfanya mwanamke afike kileleni maana kila siku analalamika simfikishi kunako.
 
ilo ni tatizo la kutokujiamini huwa linasababisha uwahi kukojoa mkuu ongea na Dem wako ukikaribia kukojoa akupige dole la kati stim zitakata utaanza upya
kwahiyooo ww unafanyiwa hvyoo mkuu

hongera yako mwanandolee
 
Piga LUSEKELO kubwa..then mvae kampasue ufa ule..

Jitahidi kumuandaa kisawa sawa

Ila kudadek madem wengine wanaigiza kinoma hata km hujamfikisha anapretend tuu na.kulia uongo uongo

Piga JIZEE LA UPAKO then mbambie mpk.ajute ahisi mpk kunawaka moto
 
Back
Top Bottom