- Thread starter
- #101
Fundi alisema imepinda kwaiyo ipigwe pasi , na alifanya hivo , ...ikarudishiwa fresh ,Wakati fundi wa Manyoni amekwambia head imepinda ulinunua head nyingine au ndo alikufungia tu kwa wewe kudhani urahisi na yeye kutamani pesa yako
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature