Copier
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,567
- 7,768
ila GX 100 Zinabwiya mafuta asee tuache utaniWatu hawajui,kama unahitaji gari ikupitishe kipindi cha mpito ni hizi GX100 wao wanakimbilia IST na Passo wanafikiria mafuta tu. Mimi ninayo siiuzi huwa inakaa kusubiri hali ngumu ndio naitumia. Watu kibao wananisumbua niwauzie
Sent from my SM-J320F using Tapatalk