Msaada: Ni kampuni gani nzuri kwa bima za magari

Msaada: Ni kampuni gani nzuri kwa bima za magari

Kampuni ulizotajiwa zifanyie utafiti, watu wako kibiashara zaidi, nikiwa na ya kwangu ama ninakopatia mkate ni lazima niipigie debe ati! Angalia na Phoenix

Asante sana kiongozi.
 
Wadau naombeni msaada wa ushauri, ni kampuni gani nitumie kukata bima ya gari? na pia kwa gari ya shs 9,000,000.00 (Milioni tisa) Comprehensive ni shs ngapi? msaada tafadhalini.

Jubilee nina mfano halisi wa kupata malipo haraka baada ya kupata matatizo na gari.
 
ukishukuru ujue na kutoa 380,000-270,000=110,000

10% ya 110,000 11,000 hii peleka kanisani

baki 99,000

hiyo tuangalie ndugu zako tuliokupa ushauri ukiwemo huu wa kanisani unatutoaje ??

Acha njaa ww
 
Nimekusoma mkuu, itabidi niombe tigo zenu baadaye ili niweze kuwatumia lol.

Mkuu hapo kwenye tigo zao hebu rekebisha mkuu, maana ukiiacha tu hivyo huku kitaa inaleta maana mbaya sana! Eti umwombe Pdidy tigo yake!! Hahahahaaaa just joking my friend!! Inaeleweka vizuri tu kwetu watu wazima!!
 
Wadau naombeni msaada wa ushauri, ni kampuni gani nitumie kukata bima ya gari? na pia kwa gari ya shs 9,000,000.00 (Milioni tisa) Comprehensive ni shs ngapi? msaada tafadhalini.

Gari la thamani ya TZS 9,000,000 kwangu mimi third party ambayo ni TZS 100,000 inatosha sana. Ukipata janga vuta pesa kazini au vikoba ununue lingine
 
Wadau naombeni msaada wa ushauri, ni kampuni gani nitumie kukata bima ya gari? na pia kwa gari ya shs 9,000,000.00 (Milioni tisa) Comprehensive ni shs ngapi? msaada tafadhalini.

kwa gari za kawaida ni 3% kwahio gari yako hio itakuwa tzs 270,000 kwa mwaka comprehensive....kampuni ninayotumia ni Jubilee
 
Asanteni sana wakuu kwa ushirikiano wenu, huyu agent alitaka kunitoa shs. 380,000 kwa thamani ya m9, asanteni sana kwa ushauri wenu.
Kaka, ni sahihi alivyokuchaji, hata hizo comprehensive zinatofautiana, na kila company ina percentage. Comprehensive nzuri ni ile inayocover kila aina ya uharibifu
 
Jaribu Jubilee mkuu. Hiyo laki tisa kwa comprehensive ni 3% of 9,000,000 means 270,000 Tsh per year. All the best

...wakuu hii "Jubilee" ni hii The Jubilee Insurance Company of Tanzania Ltd inayotoa BIMA ZA AFYA au ni kampuni mbili tofauti?

"samahanini - kuuliza si ujinga...!"
 
...wakuu hii "Jubilee" ni hii The Jubilee Insurance Company of Tanzania Ltd inayotoa BIMA ZA AFYA au ni kampuni mbili tofauti?

"samahanini - kuuliza si ujinga...!"

Zote zinatolewa na Kampuni moja, tofauti ni kwamba Insurance company inapoamua kutoa Bima zote mbili (Life na non life) lazima iwe na department mbili zilizokamilika.
 
Hao ni ma Insurance broker tu sio Insurance Company .......

Kuna tofauti gani? Mimi magari yangu yote nimeyawekea bima kupitia kwa hawa jamaa. Na kwai hapa nlipo NBC ndiyo wanatoa policy na steakers kwa niaba yao.
 
Kuna tofauti gani? Mimi magari yangu yote nimeyawekea bima kupitia kwa hawa jamaa. Na kwai hapa nlipo NBC ndiyo wanatoa policy na steakers kwa niaba yao.

Wao ni mawakala tu angalia sticker ya gari yako ndio utajua umekatiwa kampuni gani.....ingawa ni mawakala wanaotambulika dunia nzima kama AON walivyo lakini wao hawabebi risk bali wanalipwa commission tu kwa kupeleka biashara kwenye Insurance company ....hao NBC watakuwa wazembe maana wanaweza kujisajiri TIRA kuwa agent au broker wa bima ili walambe commission moja kwa moja na mfano mzuri ni CRDB ambao walikuwa ni agent wa bima na sasa wamepanda ni mabroker wa Bima wakiitwa CRDB Insurance Broker ltd Company .....
 
Back
Top Bottom