Msaada: Ni kampuni gani nzuri kwa bima za magari

Lukansola

JF-Expert Member
Sep 5, 2010
5,435
1,597
Wadau naombeni msaada wa ushauri, ni kampuni gani nitumie kukata bima ya gari? na pia kwa gari ya shs 9,000,000.00 (Milioni tisa) Comprehensive ni shs ngapi? msaada tafadhalini.
 
Jaribu Jubilee mkuu. Hiyo laki tisa kwa comprehensive ni 3% of 9,000,000 means 270,000 Tsh per year. All the best
 
Wadau naombeni msaada wa ushauri, ni kampuni gani nitumie kukata bima ya gari? na pia kwa gari ya shs 9,000,000.00 (Milioni tisa) Comprehensive ni shs ngapi? msaada tafadhalini.

Jaribu Jubilee mkuu. Hiyo laki tisa kwa comprehensive ni 3% of 9,000,000 means 270,000 Tsh per year. All the best

Nakushauri jubilee, usikate Zanzibar Insurance au National insurance wasumbufu sana Kwenye kulipa. Speaking from experience

Heritage wako vizuri pia


Asanteni sana wakuu kwa ushirikiano wenu, huyu agent alitaka kunitoa shs. 380,000 kwa thamani ya m9, asanteni sana kwa ushauri wenu.
 
Maxinsure pia ni wazuri,wepesi kushugulikia tatizo linapotokea
 
asanteni sana wakuu kwa ushirikiano wenu, huyu agent alitaka kunitoa shs. 380,000 kwa thamani ya m9, asanteni sana kwa ushauri wenu.

ukishukuru ujue na kutoa 380,000-270,000=110,000

10% ya 110,000 11,000 hii peleka kanisani

baki 99,000

hiyo tuangalie ndugu zako tuliokupa ushauri ukiwemo huu wa kanisani unatutoaje ??
 
MPWA Matola
wanafurahia awataki kushukuru ndio maana wanaendelea kugongwa za bei juu ...
mkuu ukipindisha ushauri wangu Mungu lazima akukamate sehemu nyingine utaziamishia zote hapo anza na sadaka
umalize na washauri jf
 
its 3% ya value ya gari so ina depend na value ya gari hiyo 380,000/= maana yake value ya gari yako ni 12,666,666 approximately 12,700,000 so comprehensive
 
Bumaco Insurance wako vizuri mkuu.


Wacheki pale Luther House floor ya 3 kama sijakosea.
 
ukishukuru ujue na kutoa 380,000-270,000=110,000

10% ya 110,000 11,000 hii peleka kanisani

baki 99,000

hiyo tuangalie ndugu zako tuliokupa ushauri ukiwemo huu wa kanisani unatutoaje ??
duh! Mi nashauri angechangia jf
 
ukishukuru ujue na kutoa 380,000-270,000=110,000

10% ya 110,000 11,000 hii peleka kanisani

baki 99,000

hiyo tuangalie ndugu zako tuliokupa ushauri ukiwemo huu wa kanisani unatutoaje ??

Hahaha, we mtu hatari sana, Poa lakini nitafanyia kazi ushauri wako, nikianza na huu wa kanisani kiongozi.
 
MPWA Matola
wanafurahia awataki kushukuru ndio maana wanaendelea kugongwa za bei juu ...
mkuu ukipindisha ushauri wangu Mungu lazima akukamate sehemu nyingine utaziamishia zote hapo anza na sadaka
umalize na washauri jf

Nimekusoma mkuu, itabidi niombe tigo zenu baadaye ili niweze kuwatumia lol.
 
Back
Top Bottom