Msaada: Ni kampuni gani nzuri kwa bima za magari

Wadau naombeni msaada wa ushauri, ni kampuni gani nitumie kukata bima ya gari? na pia kwa gari ya shs 9,000,000.00 (Milioni tisa) Comprehensive ni shs ngapi? msaada tafadhalini.

Mdau phonex ni zaidi ya makampuni ukipata ajali ndan siku 7 kila k2 kinakuwa poa alafu ukiwa mteja wao wa kudumu hata kama huna pesa bima imeisha wanakupa unalipa kidogokidogo mi najivunia hiyo kampuni kwa kweli hawa wengine michosho kama hiyo jubilee utajuta hao jamaa wasumbufu alafu wana nyodo balaa ukipata shida
 
Naomba kuuliza na mm,je kampuni ya bima huwa inatumia vigezo gani kurekebishia/kukupatia gar lako wakati limepata ajali
 
...wakuu hii "Jubilee" ni hii The Jubilee Insurance Company of Tanzania Ltd inayotoa BIMA ZA AFYA au ni kampuni mbili tofauti?

"samahanini - kuuliza si ujinga...!"

Mkuu ndiyo hiyo hiyo, hao jamaa wako vizuri sana.
 
Gari la thamani ya TZS 9,000,000 kwangu mimi third party ambayo ni TZS 100,000 inatosha sana. Ukipata janga vuta pesa kazini au vikoba ununue lingine
Kwa kulipia 3rd party ya Tshs 100,000/- unakua ume-save Tshs 170,000/- (270,000 - 100,000).

Msala ni pale utakapopata ajali itakayoku-cost labda 4mil ndipo utakapoona hiyo Tshs 170,000 haikua na maana!!
 
Mdau phonex ni zaidi ya makampuni ukipata ajali ndan siku 7 kila k2 kinakuwa poa alafu ukiwa mteja wao wa kudumu hata kama huna pesa bima imeisha wanakupa unalipa kidogokidogo mi najivunia hiyo kampuni kwa kweli hawa wengine michosho kama hiyo jubilee utajuta hao jamaa wasumbufu alafu wana nyodo balaa ukipata shida

Hebu nipe address yao niwatembelee mkuu, hata mimi natafuta pia.
 
Kwa kulipia 3rd party ya Tshs 100,000/- unakua ume-save Tshs 170,000/- (270,000 - 100,000).

Msala ni pale utakapopata ajali itakayoku-cost labda 4mil ndipo utakapoona hiyo Tshs 170,000 haikua na maana!!

Sehemu kubwa ya hiyo savings naielekeza kanisani na kusaidia wahitaji kama watoto wanaokwama ada hivyo naamini Mungu ni zaidi ya bima
 
ukishukuru ujue na kutoa 380,000-270,000=110,000

10% ya 110,000 11,000 hii peleka kanisani

baki 99,000

hiyo tuangalie ndugu zako tuliokupa ushauri ukiwemo huu wa kanisani unatutoaje ??

N hiyo 10% (11,000) apeleke kanisani, mama mchungaji achangishe na wengine kisha azipeleke kwenye mradi wa mjengo wake wa nguvu mbezi..au wengine kununulia Hummer.. bongo bwana..yaani si church si mtaani kote sawa tu
 
JF Insurance,mcheki Pdiddy

mkuu yaani nilitaka kujitangaza nikaogopa watadai matapeli washaibiwaga pesa za kukuu sijuiii

yaani mi nawafata mpwa tunamalizana ofisini kwako kizazzi kinaendelea na mchakato....sikuhizi hata mtoto akizaliwa anafungua kampuni ya bima kwa nini nisiwafwate mpwa ...wani pm
 
hahaha ni 3rd floor not 3th floor...... 'kiingereza kwa siku tatu'


msaidie bana wengine tumesoma floor ni chini sasa anajiuliza 3rd chini ni wapi uko

mkuu ni gorofa ya tatu ukitaka kuelewa zaidi

cc:matola

cc hoe (msd u much ntoto)
 
duh! Mi nashauri angechangia jf

kwani mi niko saccos ya jf??niko jf mpwa usione sijaukamata u pre.....naendelea kutafuta ile 30,000 naona by sept mtaanza kuniita prem pdidy
 
Mkuu hapo kwenye tigo zao hebu rekebisha mkuu, maana ukiiacha tu hivyo huku kitaa inaleta maana mbaya sana! Eti umwombe Pdidy tigo yake!! Hahahahaaaa just joking my friend!! Inaeleweka vizuri tu kwetu watu wazima!!

Job K unanichonganisha na Pdidy sasa lol...
 
Mkuu hapo kwenye tigo zao hebu rekebisha mkuu, maana ukiiacha tu hivyo huku kitaa inaleta maana mbaya sana! Eti umwombe Pdidy tigo yake!! Hahahahaaaa just joking my friend!! Inaeleweka vizuri tu kwetu watu wazima!!

'Balaa' kabisa kawaomba tigo ili aweze 'kuwatumia'..... Jamaa ana sense ya humour. Imekaa vizuri :)
 
Back
Top Bottom