Msaada: Ni kampuni gani nzuri kwa bima za magari

Jubilee Insurance mkuu. Usifanye mchezo na Mwananchi Insurance, hao hawafai kabisa. kuna jamaa yangu gari lake liliibiwa, hadi leo hajalipwa. Documents zote, taarifa ya upelelezi wa police na taaria ya mpelezi wao na taratibu zote kazifanya, mwezi wa nane huu hakunamalipo waamzungusha tuu. Mwananchi haifa kabisaaa
 
ukishukuru ujue na kutoa 380,000-270,000=110,000

10% ya 110,000 11,000 hii peleka kanisani

baki 99,000

hiyo tuangalie ndugu zako tuliokupa ushauri ukiwemo huu wa kanisani unatutoaje ??
Au msikitin
 
Bumaco ni majanga, kuna kadada kanajifanya ndio kanajua sana kubishana na wateja, unaeza kuzimia kwa majibu yao.
 
boss kama bado ujakata bima basi wasiliana na mimi , nipo aar na sasa tunatoa bima nzuri za gari uduma yetu ni ya uakika kwa garama hiyi hiyo 0655122176
 
Nenda Mwanamilembe wako Viva tower they are the best hawana longo longo.....

Mkuu nadhani unamaanisha Milembe Insurance na siyo Mwanamilembe Insurance. Labda kama wamebadili jina hivi karibuni. Kama ni hao Milembe binafsi siwezi kumshauri mtu akate bima pale. Niliwahi kukata bima hapo Milembe lakini siku nilipopata tatizo hadi nilipokuja kupata haki yangu kulingana na policy yenyewe nilikuwa nimeshajuta kiasi cha Kutosha. Ila baadae nilikuja kuelewa chanzo cha ile jeuri kwa wateja iilitokana na ukweli kwamba kwa wengine "milioni kumi ni za kununulia tu mboga". Siku hizi nikihitaji kukata bima nakwenda Real Insurance (PPF Tower) au M-Gen Insurance (Water Front).
 
Jubilee ni kampuni nzuri lakini kuanzia July 2015 thamani ya Mil. 9,000,000x 3.5% = 315,000 ongeza VAT 18%x 315,000=56,700 jumla kuu ni Tshs 373,700/= kwa mwaka. Zaidi ya hapo wana advantages ambazo hupati kwenye kampuni nyingine.
 
Mkuu hebu cheki na hawa majamaa wenye karakana kubwa za kutengeneza magari watakupa ushauri kulingana na uzoefu kutoka kwa wateja wao (waliopata majanga na kufidiwa) kuhusu formula za comprehensive zote zna fanana tofauti ni quality ya huduma
 
Back
Top Bottom