Msaada: Ni ipi bei elekezi ya gas?

Jackbauer

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
6,033
2,188
Ndugu wana jf,nina mtungi wa gas wa oryx(6kg).huwa naujaza kwa Tsh 15000 .naomba kujua bei elekezi ya gas kwa kg 1.
 

Newvision

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
446
29
jack hata mie nina tatizo hilo imagine mie nanua 15 kg kwa sh 45000 hapa mbeya kweli tutafika?
 

araway

JF-Expert Member
Sep 26, 2007
533
143
jack hata mie nina tatizo hilo imagine mie nanua 15 kg kwa sh 45000 hapa mbeya kweli tutafika?


endeleeni kuvuna miti tu labda watapata akili ! ndo ujue hata tukipata mafuta nchi hi tutauziwa sawa na sasa hi ndo Tanzania zaidi uijuavyo
 

Uda

JF-Expert Member
Nov 27, 2010
811
623
What precaution should we take when using gas-cooker?
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom