Msaada ndugu zangu, pita hapa utoe ushauri wako

bunyebunye

JF-Expert Member
Apr 12, 2013
530
676
Salaam wakuu. Poleni na majukumu mbalimbali, mimi ni mhitimu wa chuo kikuu shahada ya biashara (Bachelor of Commerce), kwa mda wa miaka minne sasa sijafanikiwa kupata ajira na hivyo kupelekea akili yangu kukata tamaa kabisa. Matumaini yamerudi baada ya kutembelea jukwaa hili la ujasiriamali na kukuta thread nzuri zinazofundisha maswala mbalimbali ya kijasiriamali ikiwemo kilimo pamoja na ufugaji. Mfano kilimo cha mbogamboga ambacho huwa cha mda mfupi tu na huanza kumpatia mkulima japo kifuta jasho (pesa) Naomba ushauri wenu nifanye nini kwani kusema ukweli sina pesa kabisa ya kuanzisha mradi wowote tofauti na akili, vyeti pamoja na nguvu zangu binafsi ambazo ziko tayari kupambana. Naishi Dsm. Naombeni ushauri wenu ndugu zangu kwani palipo na wengi kuna mengi pia. Naomba samahani kwa nitakayekuwa nimemkwaza hivyo asije na lugha kali zisizo za kiungwana. Nawasilisha.
 
Salaam wakuu. Poleni na majukumu mbalimbali, mimi ni mhitimu wa chuo kikuu shahada ya biashara (Bachelor of Commerce), kwa mda wa miaka minne sasa sijafanikiwa kupata ajira na hivyo kupelekea akili yangu kukata tamaa kabisa. Matumaini yamerudi baada ya kutembelea jukwaa hili la ujasiriamali na kukuta thread nzuri zinazofundisha maswala mbalimbali ya kijasiriamali ikiwemo kilimo pamoja na ufugaji. Mfano kilimo cha mbogamboga ambacho huwa cha mda mfupi tu na huanza kumpatia mkulima japo kifuta jasho (pesa) Naomba ushauri wenu nifanye nini kwani kusema ukweli sina pesa kabisa ya kuanzisha mradi wowote tofauti na akili, vyeti pamoja na nguvu zangu binafsi ambazo ziko tayari kupambana. Naishi Dsm. Naombeni ushauri wenu ndugu zangu kwani palipo na wengi kuna mengi pia. Naomba samahani kwa nitakayekuwa nimemkwaza hivyo asije na lugha kali zisizo za kiungwana. Nawasilisha.

Hapo mkuu unatakiwa uweke bayana:
1. Unahitaji pesa (mtaji)
2. unahitaji kazi (ajira)
3. unahitaji elimu ya ujasiriamali
4. n.k
 
Hapo mkuu unatakiwa uweke bayana:
1. Unahitaji pesa (mtaji)
2. unahitaji kazi (ajira)
3. unahitaji elimu ya ujasiriamali
4. n.k

Mkuu hvi sasa ninahitaji ushauri juu ya kitu gani naweza kufanya kutokana na hali yangu niliyoitoa hapo juu, kama kuna wazo la biashara ambalo ninaweza kufanya au kama kuna kazi pia ni vzuri mkuu
 
Jiunge kwenye security company ukawe mlinzi, utakapopangiwa kulinda, fanya contact za shida zako!
 
salaam wakuu. Poleni na majukumu mbalimbali, mimi ni mhitimu wa chuo kikuu shahada ya biashara (bachelor of commerce), kwa mda wa miaka minne sasa sijafanikiwa kupata ajira na hivyo kupelekea akili yangu kukata tamaa kabisa. Matumaini yamerudi baada ya kutembelea jukwaa hili la ujasiriamali na kukuta thread nzuri zinazofundisha maswala mbalimbali ya kijasiriamali ikiwemo kilimo pamoja na ufugaji. Mfano kilimo cha mbogamboga ambacho huwa cha mda mfupi tu na huanza kumpatia mkulima japo kifuta jasho (pesa) naomba ushauri wenu nifanye nini kwani kusema ukweli sina pesa kabisa ya kuanzisha mradi wowote tofauti na akili, vyeti pamoja na nguvu zangu binafsi ambazo ziko tayari kupambana. Naishi dsm. Naombeni ushauri wenu ndugu zangu kwani palipo na wengi kuna mengi pia. Naomba samahani kwa nitakayekuwa nimemkwaza hivyo asije na lugha kali zisizo za kiungwana. Nawasilisha.
muombe mungu
ana njia nyingi
ni tajiri sana
atakusaidia
 
Back
Top Bottom