mchumi tumbo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 832
- 988
Wakuu simu yangu iliingia kwenye maji lakini niliiwahi kuitoa na ikaonyesha haina tatizo lolote,sasa hii jioni nimeweka charge haiingizi mpaka niizime na nikichomoa charge yaonyesha bado yaingiza,,,tatizo ni nini na hatua zipi nichukuw
Simu ni tecno cx air
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu ni tecno cx air
Sent using Jamii Forums mobile app