Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,550
- 1,422
Nisipoteze muda, nawezaje kupata taarifa ya figo zangu kabla majanga hayajanikuta ukizingatia mimi naishi maisha ambayo siwezi kumudu hospitali ya zaidi ya laki moja (sina uwezo kifedha)?
Nikiangalia hizi maabara zetu nyingi huongozwa na vijana walioshindwa kuendelea na masomo, yaani wengi wao wamekariri tu mambo baadhi na hata vipimo majibu hutofautiana.
Naombeni msaada maana kuna hali siielewi yapata mwaka sasa, nachomwa sindano tu na kupewa vidonge vya UTI ila sioni mabadiliko yoyote.
Nikiangalia hizi maabara zetu nyingi huongozwa na vijana walioshindwa kuendelea na masomo, yaani wengi wao wamekariri tu mambo baadhi na hata vipimo majibu hutofautiana.
Naombeni msaada maana kuna hali siielewi yapata mwaka sasa, nachomwa sindano tu na kupewa vidonge vya UTI ila sioni mabadiliko yoyote.