BEZO JR
Platinum Member
- Jul 15, 2023
- 3,273
- 8,473
Ile siyo biashara mkuu,inaitwa investment. Kama vip kaweke tu bank..halafu uone kama kuna ongezeko lolote baada ya mwakaduh! yaani uweke 10m ndio upate laki kwa mwezi!! mbona wanatuminya sasa